Tazama matumizi magari ya umma

Tazama matumizi magari ya umma

Kama ni gari ya maliasili usijeshangaa hayo magunia ndani kuna menoya tembo,,,tetetetete||||||||||||||||,hayo ni mawazo yangu ya kufikirika tu
 
Nakumbuka enzi zile za mwalimu.. Magari ya umma na serikali mwisho jumamosi saa 7 mchana.. Jumapili hukuti gari la umma wala serikali barabarani sembuse kubeba mizigo kama hiyo..

UJAMBAZI-2.jpg


Aisee ulipotelea wapi?
 
Wanasheria watusaidie,je katiba yetu inaturuhusu sisi walipakodi kuwawabibisha watumishi wa umma wanapokiuka sheriazakazi.?
 
Kwani magari ya umma yalitakiwa yatumikeje bro? Kwanini imekuwa na cabin na sehemu ya kuwekea mzigo? What if huo mkaa ni wa matumizi ya ofisi? Kwani wafanyakazi hawali? Ulifanya jijihada zozote kujiridhisha kwamba mkaa huo ulipakiwa kibiashara?

Ndugu yangu.., kazi za food catering kwenye maofisi kuna kampuni binafsi huwa wanapewa hizo tender.., na wao ndio uhusika na shughuli zote za upishi...
 
Wanasheria watusaidie,je katiba yetu inaturuhusu sisi walipakodi kuwawabibisha watumishi wa umma wanapokiuka sheriazakazi.?
Kivipi mkuuu. Nakushauri tafuta pesa acha kupoteza muda huwezi kumshughulikia mtu yeyote. ukiwa na pesa huwezi kuwa na mawazo hayo.
 
attachment.php

»Noma sana kodi yangu inatumika vibaya,mengine yanasanya abiria,wengine wanapiga nyoka(wanakunywa maziwa) aka wanaiba mafuta na kuyauza
»Magari ya serikali nilisikia mwisho saa 12 jioni kutembea lakini mengine hadi saa 7 usiku yapo yanapiga dili.
Hilo ni gari la kubebea mizigo pia ndio maana lina bodi nyuma, unataka libebee mafaili tu?. gari liwe la binafsi au la serikali ni kwaajili ya matumizi ya binadamu na matumizi yenyewe ndio hayo. kama wewe halijakunufaisha komaa ufikie walipo wenzio wanaonufaika
 
Alafu yakishachakaa wanauziana wenyewe kwa wenyewe kwa bei ya kutupa!!
 
Huu umezidi matumizi ya nyumbani. Pengine ni wa biashara.

Madereva wa halmashauri tuwahurumie tu! Wanajua kujipendekeza sana, hapo ukute mkaa wa DED, DPLO, TO na wa kwake mwenyewe! Bila hivyo safari zitaota mbawa! Wanapopewa trip wanapewa masharti kabisa kabisa, huku kwetu T.O alikuwa anawapiga panga kwenye posho zao! Chezea sirikali Wewe!
 
Back
Top Bottom