kichomiz JF-Expert Member Feb 28, 2011 19,011 11,942 Oct 4, 2021 #2 Ahahahaaa hapo kulia Kuna masharti mengi sana, unaweza ukaambiwa uache bia ,nyama choma,kugegeda , utaambiwa ule mgagani na dona tu
Ahahahaaa hapo kulia Kuna masharti mengi sana, unaweza ukaambiwa uache bia ,nyama choma,kugegeda , utaambiwa ule mgagani na dona tu
Kennedy JF-Expert Member Dec 28, 2011 49,025 54,309 Oct 4, 2021 #3 Mabeberu Yanatuzidi Ujanjaujanja Kila Siku
Shadeeya JF-Expert Member Mar 12, 2014 48,323 115,323 Oct 5, 2021 #6 Aisee!! Watu hawataki mambo ya acha hiki, punguza hiki mara fanya kwa kiasi.
mkorinto JF-Expert Member Jun 11, 2014 30,703 37,316 Oct 5, 2021 #7 kichomiz said: Ahahahaaa hapo kulia Kuna masharti mengi sana, unaweza ukaambiwa uache bia ,nyama choma,kugegeda , utaambiwa ule mgagani na dona tu Click to expand... bila kusahau acha kutumia AC na fan
kichomiz said: Ahahahaaa hapo kulia Kuna masharti mengi sana, unaweza ukaambiwa uache bia ,nyama choma,kugegeda , utaambiwa ule mgagani na dona tu Click to expand... bila kusahau acha kutumia AC na fan