Wakati mwingine nasikitika sana kwa mambo yanayoendelea kuipa sura hii jf, inanisikitisha. Pamoja na yote yanayoendelea na kusemwa kote JF bado ni mahali ambapo ukipita utapata kitu, hutatoka bila kitu ndivyo nilivyozoea au tulivyozoea wengi wetu, lakini hali inayoendelea kwasasa inatutia uvivu wengi kuja hapa na si ajabu wako wengi ambao wameshakata tamaa ya kuja hapa kwasababu ndio forum inayoongoza kwasasa kwa habari za kutunga na kuzusha, hatuitendei haki jamii na wadau wakubwa wa forum hii.
Kila kukicha watu hapa wana tunga uongo na kuzusha kama vile ni kweli na wana hakika na wanayoyasema, si ndo maana kuna sehemu ya tetesi basi walau kama huna hakika?
Nimesoma thread ya vita dhidi ya watuhumiwa wa ufisadi na lile la ziara yangu kwenye vyombo vya habari. Nimejaribu kujibu lakini naona mara tu baada ya kuingia threda zile zinahamishwa mara hii huku ukirudi unakuta imeshapelekwa kwingine hivyo mtirirko wa hoja unakuwa tabu.... Hizi ni hoja mbili tofauti na ndo maana nimeamua kuanzisha nyingine maana mkanganyo unaozungushwa kule sijajua ni nini?
Lakini kwa kifupi, tumeandika barua kwenye vyombo vyote vya habari(news rooms) kuzitembelea wakiwemo mwananchi, na ratiba ilishapangwa kuwatembelea, na hata hao tanzania daima nitakwenda na ratiba ipo muda mrefu, sasa huu uzushi mara ooh nape kapeleka sijui taarifa gani kwenye kikao unatoka wapi? Swala hili hata kwenye kikao halijafika ni mpango wa kazi wa ndani ya idara, hichi si chama cha mfukoni hii taasisi kila idara ina mipango yake, sasa hicho kikao cha wapi?
But naamini watu wako kazini zaidi, lakini hata kama ni kazi ya propaganda huwa haifanywi hivyo, uongo wa wazi kabisa na kujaribu kupandikiza chuki'''''' hii imepitiliza.......
Tusiharibu hadhi ya forum hii kwa kuzusha maneno ya siyo na ukweli hata chembe..... Kweli ukizoea vya kunyonga vya kuchinja huviwezi.......
Nape nakupngeza kwa usugu uliodevelop pamoja na shuruba tele, nina swali moja tuWakati mwingine nasikitika sana kwa mambo yanayoendelea kuipa sura hii jf, inanisikitisha. Pamoja na yote yanayoendelea na kusemwa kote JF bado ni mahali ambapo ukipita utapata kitu, hutatoka bila kitu ndivyo nilivyozoea au tulivyozoea wengi wetu, lakini hali inayoendelea kwasasa inatutia uvivu wengi kuja hapa na si ajabu wako wengi ambao wameshakata tamaa ya kuja hapa kwasababu ndio forum inayoongoza kwasasa kwa habari za kutunga na kuzusha, hatuitendei haki jamii na wadau wakubwa wa forum hii.
Kila kukicha watu hapa wana tunga uongo na kuzusha kama vile ni kweli na wana hakika na wanayoyasema, si ndo maana kuna sehemu ya tetesi basi walau kama huna hakika?
Nimesoma thread ya vita dhidi ya watuhumiwa wa ufisadi na lile la ziara yangu kwenye vyombo vya habari. Nimejaribu kujibu lakini naona mara tu baada ya kuingia threda zile zinahamishwa mara hii huku ukirudi unakuta imeshapelekwa kwingine hivyo mtirirko wa hoja unakuwa tabu.... Hizi ni hoja mbili tofauti na ndo maana nimeamua kuanzisha nyingine maana mkanganyo unaozungushwa kule sijajua ni nini?
Lakini kwa kifupi, tumeandika barua kwenye vyombo vyote vya habari(news rooms) kuzitembelea wakiwemo mwananchi, na ratiba ilishapangwa kuwatembelea, na hata hao tanzania daima nitakwenda na ratiba ipo muda mrefu, sasa huu uzushi mara ooh nape kapeleka sijui taarifa gani kwenye kikao unatoka wapi? Swala hili hata kwenye kikao halijafika ni mpango wa kazi wa ndani ya idara, hichi si chama cha mfukoni hii taasisi kila idara ina mipango yake, sasa hicho kikao cha wapi?
But naamini watu wako kazini zaidi, lakini hata kama ni kazi ya propaganda huwa haifanywi hivyo, uongo wa wazi kabisa na kujaribu kupandikiza chuki'''''' hii imepitiliza.......
Tusiharibu hadhi ya forum hii kwa kuzusha maneno ya siyo na ukweli hata chembe..... Kweli ukizoea vya kunyonga vya kuchinja huviwezi.......
Wakati mwingine nasikitika sana kwa mambo yanayoendelea kuipa sura hii jf, inanisikitisha. Pamoja na yote yanayoendelea na kusemwa kote JF bado ni mahali ambapo ukipita utapata kitu, hutatoka bila kitu ndivyo nilivyozoea au tulivyozoea wengi wetu, lakini hali inayoendelea kwasasa inatutia uvivu wengi kuja hapa na si ajabu wako wengi ambao wameshakata tamaa ya kuja hapa kwasababu ndio forum inayoongoza kwasasa kwa habari za kutunga na kuzusha, hatuitendei haki jamii na wadau wakubwa wa forum hii.
Kila kukicha watu hapa wana tunga uongo na kuzusha kama vile ni kweli na wana hakika na wanayoyasema, si ndo maana kuna sehemu ya tetesi basi walau kama huna hakika?
Nimesoma thread ya vita dhidi ya watuhumiwa wa ufisadi na lile la ziara yangu kwenye vyombo vya habari. Nimejaribu kujibu lakini naona mara tu baada ya kuingia threda zile zinahamishwa mara hii huku ukirudi unakuta imeshapelekwa kwingine hivyo mtirirko wa hoja unakuwa tabu.... Hizi ni hoja mbili tofauti na ndo maana nimeamua kuanzisha nyingine maana mkanganyo unaozungushwa kule sijajua ni nini?
Lakini kwa kifupi, tumeandika barua kwenye vyombo vyote vya habari(news rooms) kuzitembelea wakiwemo mwananchi, na ratiba ilishapangwa kuwatembelea, na hata hao tanzania daima nitakwenda na ratiba ipo muda mrefu, sasa huu uzushi mara ooh nape kapeleka sijui taarifa gani kwenye kikao unatoka wapi? Swala hili hata kwenye kikao halijafika ni mpango wa kazi wa ndani ya idara, hichi si chama cha mfukoni hii taasisi kila idara ina mipango yake, sasa hicho kikao cha wapi?
But naamini watu wako kazini zaidi, lakini hata kama ni kazi ya propaganda huwa haifanywi hivyo, uongo wa wazi kabisa na kujaribu kupandikiza chuki'''''' hii imepitiliza.......
Tusiharibu hadhi ya forum hii kwa kuzusha maneno ya siyo na ukweli hata chembe..... Kweli ukizoea vya kunyonga vya kuchinja huviwezi.......
UDOM hapo inaingiaje wakati humu jamvini hali ilibadilika sana mara baada ya CCM kuja na sera ya kujivua gamba mnamo mwezi februari, Nape mwenyewe alinda Udom mwezi meiTangu nape aende UDOM huku JF hakukaliki tena. Hoja zako hazina mashiko bwana mdogo, watu wote hawa wanaochangia humu usidhani it's just in vein, usidhani watu wanafanya mchezo wa kuigiza humu kama kule facebook , wana uchungu na nchi yao na wana haki ya kujua hatima ya maisha yao pamoja na taifa lao. Wengi hamjamwelewa nape kinauye, baada ya kutembelea TBC, pamoja na Habari leo , sasa anataka atembelee ofisi za JF, ukiwa kama nani?Ushauri wangu kwako nape kinauye ni kwamba kazi za chama endesha huko huko, kwanza nimeshangaa sana nini nilichokupeleka huko TBC na HAbari Leo ilhali ni vyombo na mali ya Wananchi, na wewe wakati huo unawakilisha Chama cha Magamba. usitake kutisha watu kwa gwanda lako la kijani.
Nape,
Ningependa kujua ni nini hasa lengo la hizo ziara katika vyombo vya habari?
...Kila kukicha watu hapa wana tunga uongo na kuzusha kama vile ni kweli na wana hakika na wanayoyasema, si ndo maana kuna sehemu ya tetesi basi walau kama huna hakika?
Nimesoma thread ya vita dhidi ya watuhumiwa wa ufisadi na lile la ziara yangu kwenye vyombo vya habari. Nimejaribu kujibu lakini naona mara tu baada ya kuingia threda zile zinahamishwa mara hii huku ukirudi unakuta imeshapelekwa kwingine hivyo mtirirko wa hoja unakuwa tabu.... Hizi ni hoja mbili tofauti na ndo maana nimeamua kuanzisha nyingine maana mkanganyo unaozungushwa kule sijajua ni nini?
Lakini kwa kifupi, tumeandika barua kwenye vyombo vyote vya habari(news rooms) kuzitembelea wakiwemo mwananchi, na ratiba ilishapangwa kuwatembelea, na hata hao tanzania daima nitakwenda na ratiba ipo muda mrefu, sasa huu uzushi mara ooh nape kapeleka sijui taarifa gani kwenye kikao unatoka wapi? Swala hili hata kwenye kikao halijafika ni mpango wa kazi wa ndani ya idara, hichi si chama cha mfukoni hii taasisi kila idara ina mipango yake, sasa hicho kikao cha wapi?
But naamini watu wako kazini zaidi, lakini hata kama ni kazi ya propaganda huwa haifanywi hivyo, uongo wa wazi kabisa na kujaribu kupandikiza chuki'''''' hii imepitiliza.......[/QUOTE]
Kwenye Blue ni wewe mwenyewe mwenye tabia ya kutosema kweli, ULITOA SIKU 90 RACHEL ajivue gamba la sivyo mtawatimua, SIKU 90 ZIMEKWISHA na hatujaona lolote na wewe hujaondoa kauli yako! Kama si uongo (propaganda) wa kujitafutia umaarufu ni nini basi?
Kwenye Red, unaendeleza uzushi uleuye, weka wazi kinachoendela siyo kuendeleza majungu na mipasho isiyotoa jibu sahihi. Nape bahati mbaya sana umeingia kichwa kichwa kwenye vita dhidi ya ufisadi. Kama bosi wako JK na PM Pinda anakiri siyo rahisi kupambana na mafisadi wewe utaweza wapi? AIBU kwako kwa sababu uliyotamka bado yamo vichwani mwa watu na hawaoni kinachoendelea. Ndo maana umepachikwa jina la VUVUZELA la Chama!
Kazi ni kwako,nyie mnapambana na Cdm,CDM wanachanja mbuga kwa wananchi,endeleeni hivyo hivyo.ila kumbukeni CKU HAZIGANDI!nape,hongera kaka hawa chadema ni vuvuzela tuachie sisi tule nao sahani moja. walibadili jf yao ila sasa tunawakabili.endelea kumwambia daktari wa wakatoliki akalipe kodi.mbowe vita ya posho aanze na mwenyekiti wake mwenye posho milioni saba na nusu.taasisi ya mtei na familia haitubabaishi.endelea kutuletea mambo mapya. chadema umewashika pabaya ndio maana wanakuandama. endelea kuwaminya sawa sawa.
...Good obbservation man!!Mna uhakika huyo ni nnape jamani??uwe makini wamtumwa hao