Tax Table (PAYE), Sheria ya Fedha ya mwaka 2015

Tax Table (PAYE), Sheria ya Fedha ya mwaka 2015

IlangiKwetu

Member
Joined
Oct 9, 2014
Posts
85
Reaction score
33
Habari wadau,

Mwaka wa fedha 2015-16 sheria mpya inaleta tax table mpya ya kukotoa kodi ya mapato (PAYE) mwenye nayo anisaidie tafadhali kabla hautajaabika mwezi huu.

Naombeni wadau maake kuna mabadiliko mengi kuanzia kiwango cha kukata pamoja na asilimia ya kutumia.

Ahsante.
 
Tax table 2015
 

Attachments

  • 1436356875686.jpg
    1436356875686.jpg
    55.9 KB · Views: 697
5.
The principal Act is amended in th
e First Schedule
by
-
(a)
deleting the table appearing in paragraph 1 and
substituting for it the following new table:
"
TOTAL INCOME
RATE PAYABLE
Where total income does not
exceed Shs. 2,040,000/=
NIL
Where total income
exceeds
Shs. 2,040,000/=but does not
exceed Shs. 4,320,000/=
11% of the amount in excess of
Shs. 2,040,000/=
Where total income exceeds
Shs. 4,320,000/=but does not
exceed Shs. 6,480,000/=
Shs. 250,800/= plus 20% of the
amount in excess of Shs.
4,320,00
0/=
Where total income exceeds
Shs. 6,480,000/=but does not
exceed Shs. 8,640,000/=
Shs.682,800/= plus 25% of the
amount in excess of Shs.
6,480,000/=
Where total income exceeds
Shs. 8,640,000/=
Shs. 1,222,800/= plus 30% of the
amount in excess of Shs.
8,640,000/=

Nilikuwa nahitaji hii maneno mdau




Tax table 2015
 
Back
Top Bottom