CUF Ngangari
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 273
- 51
operation mchakamchaka hadi 2015 leo imeendelea katika kata ya ndugumbi na kuzoa wanachama wote 114 wa ccm katika tawi kagera mikoroshini na kushusha bendera ya CCM na kupanda ya CUF, akiongea katika mkutano wa kuwapokea wanachama hao aliyekuwa mwenyekiti wa tawi hilo bw Adam amesema aliingia CCM akiwa mtoto alikuwa hajui kitu lakini sasa amekuwa na akili na ameamua kuachana chama hicho, naye kada maarufu wa kata hiyo ya ndugumbi mwajuma amesema nguvu aliyoitumia alipokuwa CCM sasa anaihamishia CUF kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa na madiwani.