Tattoo zilizovuka mipaka

Camilo Cienfuegos

JF-Expert Member
Apr 23, 2015
18,945
67,564
Huu ni ushoga nao
122641d4ecfd8a45ea3a72ca2eabc084.jpg
 
Yeye unaweza ukute alishajua madahara ya hivyo vitu ila yeye hawezi kumshauri mtu asichore tattoo kwasababu yeye anacho angalia pesa.

Ila ukikutana na mtu ambaye anafanya hiyo kazi akakwambia ukweli wa madhara ya hiyo kitu ujue anakupenda sana.
Madhara ya tattoo ni nini mkuu?
 
Aiseeh utasema anachomwa sindano....

Kwahiyo hadi u b o o nao unapigwa tattoo?

Halafu kuna wale wanatangazaga wanafuta tattoo. .. wanafutaje? Maana nijuavyo tattoo ni alama inayoingia hadi kwenye damu sasa wanapoifuta wanakuchuna ngozi au unabandikwa ngozi mpya kwa juu au unabadilishwa damu?
 
huyo jamaa ni chizi kabisa! anatumia pesa ya 'welfare' kufanya huu upumbavu!
HEKIMA ni MUNGU
 
Aiseeh utasema anachomwa sindano....

Kwahiyo hadi u b o o nao unapigwa tattoo?

Halafu kuna wale wanatangazaga wanafuta tattoo. .. wanafutaje? Maana nijuavyo tattoo ni alama inayoingia hadi kwenye damu sasa wanapoifuta wanakuchuna ngozi au unabandikwa ngozi mpya kwa juu au unabadilishwa damu?

Tatoo inafutika mkuu!
 
Back
Top Bottom