Kuna utamaduni watu, hususani vijana wa Kitanzania, wameiga kutoka nchi za magharibi wa kuchora alama, jina, n.k sehemu za usiri, husussani kwenye makalio au kwenye mapaja ili kuashiria wanaupendo wa dhati dhidi ya wapenzi wao.
Je ikiwa kama mpenzi wako atachororwa utamchuliaje?
Je ikiwa kama mpenzi wako atachororwa utamchuliaje?