Tatizo /Vingunguti

Hemedy Jr Junior

JF-Expert Member
Feb 17, 2023
908
1,064
📌 Penye miti hakunaga wajenzi nikiongezea na msemo wa ndugu zangu wahaya(zagwa mbali batazilya)...
📌vingunguti kuna machinjio ila tembelea mighawa sijui niseme vihotel VIDOGO vya mitaani mtanisaidia wataalamu wa kiswahili.. nyama ambazo wanapika sijui wanaokotaga wapi?
Maana nyama kilo sio chini ya 7k.

📌 kingine kwa wale wenzetu waislamu wanasema hawalagi vibudu walai kwa Dar kula vibudu nikila siku maana sijawai sikia kuna ng'ombe aliyekufa afu wakamtupa mmmh .

Kwanza nyama nzuri hailiki kisa ni nini?.

Kingine mazingira ya machinjio machafu hii imekaaje?
me naomba kuwasilisha.
 
📌 Penye miti hakunaga wajenzi nikiongezea na msemo wa ndugu zangu wahaya(zagwa mbali batazilya)...
📌vingunguti kuna machinjio ila tembelea mighawa sijui niseme vihotel VIDOGO vya mitaani mtanisaidia wataalamu wa kiswahili.. nyama ambazo wanapika sijui wanaokotaga wapi?
Maana nyama kilo sio chini ya 7k.

📌 kingine kwa wale wenzetu waislamu wanasema hawalagi vibudu walai kwa Dar kula vibudu nikila siku maana sijawai sikia kuna ng'ombe aliyekufa afu wakamtupa mmmh .

Kwanza nyama nzuri hailiki kisa ni nini?.

Kingine mazingira ya machinjio machafu hii imekaaje?
me naomba kuwasilisha.
Kwani we unachotaka haswaaa haswaa ni kipi?!
 
Back
Top Bottom