Hemedy Jr Junior
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 908
- 1,064
📌 Penye miti hakunaga wajenzi nikiongezea na msemo wa ndugu zangu wahaya(zagwa mbali batazilya)...
📌vingunguti kuna machinjio ila tembelea mighawa sijui niseme vihotel VIDOGO vya mitaani mtanisaidia wataalamu wa kiswahili.. nyama ambazo wanapika sijui wanaokotaga wapi?
Maana nyama kilo sio chini ya 7k.
📌 kingine kwa wale wenzetu waislamu wanasema hawalagi vibudu walai kwa Dar kula vibudu nikila siku maana sijawai sikia kuna ng'ombe aliyekufa afu wakamtupa mmmh .
Kwanza nyama nzuri hailiki kisa ni nini?.
Kingine mazingira ya machinjio machafu hii imekaaje?
me naomba kuwasilisha.
📌vingunguti kuna machinjio ila tembelea mighawa sijui niseme vihotel VIDOGO vya mitaani mtanisaidia wataalamu wa kiswahili.. nyama ambazo wanapika sijui wanaokotaga wapi?
Maana nyama kilo sio chini ya 7k.
📌 kingine kwa wale wenzetu waislamu wanasema hawalagi vibudu walai kwa Dar kula vibudu nikila siku maana sijawai sikia kuna ng'ombe aliyekufa afu wakamtupa mmmh .
Kwanza nyama nzuri hailiki kisa ni nini?.
Kingine mazingira ya machinjio machafu hii imekaaje?
me naomba kuwasilisha.