pilato93
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 6,967
- 7,662
Chip yake itakuwa in mediatek hiyoHabar zenu wakuu,,
namiliki simu aina ya Samsung ni week sasa tangu niipate tatzo linalonisumbua kipa mda inaniletea up ujumbe Unfortunately WhatsApp has stopped,
Nmejaribu Ku ireset na kudownload WhatsApp upya tatzo ndo limeongezeka kila sehemu nnayo ingia inaniambia hyo sehmu has stopped
...
Msaada kwa anaefaham jins ya Ku solve ili tatZo