utakuja
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 990
- 800
Habarini za usiku, asubuhi au mchana, tafadhali naombeni mchango wenu, nina laptop yangu ya Toshiba sasa tokea juzi aingizi umeme kabisa nikiplug in adapter with battery na without battery lakini amna kitu hata kuwaka aiwaki, hata taa ya kuonyesha mashine ipo plugged in aiwaki. Je nini linaweza kuwa ni Tatizo la aina ipi,NA pia bei ya matengenezo inaeza ifike bei gani. Ahsante
Battery ya laptop ni mpya.
Adapter mpya na pia nimejaribu kutumia Ya mtu.
Battery ya laptop ni mpya.
Adapter mpya na pia nimejaribu kutumia Ya mtu.