Tajirimsomi
JF-Expert Member
- Jan 12, 2017
- 4,824
- 5,605
Asee sikuwahi kufahamu kama dstv ni tamu namna hii jana ndo nimejua dstv balaaa.
Mi ni mgeni kwenye dstv,nilivyonunua hili dish lilikuja na kifurush cha ofa package ya poa .
Kiukweli sikuona cha ajabu chochote hadi nikatamani kununua Azam hata channel nilizopewa hazina ubora hadi nikahisi au TV yangu mbovu.
Jana nimejaribu kupanda kifurushi cha kawaida tu cha 31000 tsh cha shangwe navyoenjoy machannel ya burudani sijui siku nikiweka cha 51000 itakuaje.
Asee dstv baba Lao
Mi ni mgeni kwenye dstv,nilivyonunua hili dish lilikuja na kifurush cha ofa package ya poa .
Kiukweli sikuona cha ajabu chochote hadi nikatamani kununua Azam hata channel nilizopewa hazina ubora hadi nikahisi au TV yangu mbovu.
Jana nimejaribu kupanda kifurushi cha kawaida tu cha 31000 tsh cha shangwe navyoenjoy machannel ya burudani sijui siku nikiweka cha 51000 itakuaje.
Asee dstv baba Lao