Wanaume wa siku hizi ni hasara tupu,
utakayemuona analalamika ujue, hali yake ya maisha si shwari. hivi we unalalamika kwa 200,000 wakati wenzio wanatoa hiyo kabla hajasema wala kutaka chochote. mnavolalamika wakati mwingine ni aibu bana.
Wanaume wa siku hizi ni hasara tupu,
Kuna baadhi ya wanaume akimfukuzia msichana cha kwanza wanaanza kumwaga pesa hapo hajaombwa wala nini, sasa umalaya wa mwanamke unatoka wapi hapo, pesa utoe mwenyewe kwa hiari zako bila hata kuombwa afu usingizie watu kuwa malaya, waweza kuta hadi siku mnakutana ushakula hata lk 4 pengine hata zaidi
utakayemuona analalamika ujue, hali yake ya maisha si shwari. hivi we unalalamika kwa 200,000 wakati wenzio wanatoa hiyo kabla hajasema wala kutaka chochote. mnavolalamika wakati mwingine ni aibu bana.
Acha kujitetea wewe, kama kumkatalia mtu si ukatae tokea mwanzo pasipo kuchukua chochote kutoka kwake!!!
Sio kila unalopewa unatakiwa kulichukua, vivyo hivyo hata kwenye pesa si lazima kila unapopewa unatakiwa kuichukua...
Nitakushangaa sana mwanamke unayehongwa halafu unachekelea na kujitetea kuwa, "si kaamua kunipa mwenyewe kwa hiari yake"...kwani wewe huna hela zako mwenyewe hadi utegemee hizo za kupewa???
Ukiwa mwanamke wa kujitegemea na misimamo binafsi, hauna mwanaume atayekuteteresha...
Tabia ya kuomba omba hela hovyo ni namna nyepesi ya kujirahisisha na kujishusha thamani...ni dalili za UMALAYA
WATU8 Pole sana
Pole ya nini?
Jihurumie wewe ambaye ni mwanamke, mwenye high chances za kuathiriwa na huu mfumo.
Me sitegemei pesa ya kupewa nafanya kazi kwa mikono yangu napata kipato changu,
nakupa pole kwa sababu ukitoa pesa unakuja kulalamika huku kuwa umehonga lk 200 wakti wenzio hizo ni hela ya breakfast tu
Acha kujitetea wewe, kama kumkatalia mtu si ukatae tokea mwanzo pasipo kuchukua chochote kutoka kwake!!!
Sio kila unalopewa unatakiwa kulichukua, vivyo hivyo hata kwenye pesa si lazima kila unapopewa unatakiwa kuichukua...
Nitakushangaa sana mwanamke unayehongwa halafu unachekelea na kujitetea kuwa, "si kaamua kunipa mwenyewe kwa hiari yake"...kwani wewe huna hela zako mwenyewe hadi utegemee hizo za kupewa???
Ukiwa mwanamke wa kujitegemea na misimamo binafsi, hauna mwanaume atayekuteteresha...
Tabia ya kuomba omba hela hovyo ni namna nyepesi ya kujirahisisha na kujishusha thamani...ni dalili za UMALAYA
shemeji hawajui kuwa mla vya wenzie na vyake huliwa yaheee!
Heheh!! JK anakuambia "usipotaka kuliwa huli"...
Wanaogawa bure wao sio malaya, ila wanaoomba pesa ndo malaya?! majanga! kwa hiyo mnataka wadada wagawe bure tu ili wasionekane malaya,!Ni aina fulani ya umalaya...ila wao hawajui!!!
Na afadhali kila mmoja ale vya mwenzie, sio mmoja tu ndo afaidi, wanaume wao wanataka wapewe tu wakiombwa pesa wanalalamika kauziwa, nani kawaambia watu wanagawa bure? toa kitu upewe kitu. kama wanaona wanawake malaya si utongoze wanaume wenzio ambao sio malaya, tumechoka na hizi mada za wanawake kupenda hela, haaah! mtuache tulaleshemeji hawajui kuwa mla vya wenzie na vyake huliwa yaheee!
Kuna baadhi ya wanaume akimfukuzia msichana cha kwanza wanaanza kumwaga pesa hapo hajaombwa wala nini, sasa umalaya wa mwanamke unatoka wapi hapo, pesa utoe mwenyewe kwa hiari zako bila hata kuombwa afu usingizie watu kuwa malaya, waweza kuta hadi siku mnakutana ushakula hata lk 4 pengine hata zaidi
Wanaogawa bure wao sio malaya, ila wanaoomba pesa ndo malaya?! majanga! kwa hiyo mnataka wadada wagawe bure tu ili wasionekane malaya,!
Na afadhali kila mmoja ale vya mwenzie, sio mmoja tu ndo afaidi, wanaume wao wanataka wapewe tu wakiombwa pesa wanalalamika kauziwa, nani kawaambia watu wanagawa bure? toa kitu upewe kitu. kama wanaona wanawake malaya si utongoze wanaume wenzio ambao sio malaya, tumechoka na hizi mada za wanawake kupenda hela, haaah! mtuache tulale
Na afadhali kila mmoja ale vya mwenzie, sio mmoja tu ndo afaidi, wanaume wao wanataka wapewe tu wakiombwa pesa wanalalamika kauziwa, nani kawaambia watu wanagawa bure? toa kitu upewe kitu. kama wanaona wanawake malaya si utongoze wanaume wenzio ambao sio malaya, tumechoka na hizi mada za wanawake kupenda hela, haaah! mtuache tulale