Juzi nimeenda kupima kipimo cha uzee. Diagnostic Centre Morocco wakanipa printout. Kwa kawaida huwa nikipima lazima nipime pia sehemu ingine kwa uhakiki pale maeneo ya Mwenge. Hawa wa pili majibu yalikuwa juu sana. Nikaomba printout, hapo ndipo nilipojua jinsi tunavyodanganywa. Mara machine yetu haina printer mara ilikubi ilikubi. Akili mukichwa