Paje
JF-Expert Member
- Apr 24, 2010
- 1,185
- 486
jamani tujue kuwa kwa tanzania ukitoka tu nje ya DAR basi hakuna spidi ya maana ya internet. zote zinakuwa ni EDGE tu , sio 3G tena. labda kwa zantel nao wao hawapo sehemu nyingi kwa sasa.
mie nilinunua modem ya tigo model ya huawei E153. na nikaipa unlock coding yake. wakati nipo DAR nilikuwa natumia laini ya tigo na sometimes airtel katika modem ya tigo. na zote mbili zinakuja kwa spidi ya kutisha ya 3G hadi 2Mpbs.
kwa kipindi hiki nipo Zanzibar, na tayari nimeshajaribu laini zote nne. Voda, tigo, zantel na airtel. bila ya kujiunga na packet na kwa kujiunga na internet packet. believe me zote zinatoa spidi mbovu kabisa , na muda mwingi huwa zinakata japo kuwa nipo mjini na ni karibu sana na mnara ambao umesheheni kila aina ya mtandao (wanakodishana minara).
kwenye dashboard inaonekana meno yote ma 5 na sometimez ma 4 yamejaa lakini internet inakatika na kurudi vibaya sana kiasi ya kushindwa hata kuperuz jamii forum.
PIA inaonesha ni EDGE tu sio Hsdpa.
cha ajabu na cha kusikitisha ni kuwa nikiunganisha simu yangu kwa kutumia waya na ku act kama modem kwenye laptop internet inakuja nzuri tu bila ya kukata ijapokuwa spidi ni 10kB/s lakini internet ina browzika vyema. sasa ndio tuseme hii modem ya simu ya mkononi ndio bora kuliko ya tigo. ?
nimejaribu kwenye tools options kuweka settings mbali mbali kama vile GSM only , prefered , wcdma only, prefered lakini zote hazikusaidi kitu.
Pia nimejaribu ile RAS na NDIS zote hazikuzaa matunda.
na nipo na quesiton mark.
please someone help. nataka kutumia modem na sio simu kwa kubrowse internet...... je niifanye settings gani hiii modem ya tigo angalau isikate internet.....?
mie nilinunua modem ya tigo model ya huawei E153. na nikaipa unlock coding yake. wakati nipo DAR nilikuwa natumia laini ya tigo na sometimes airtel katika modem ya tigo. na zote mbili zinakuja kwa spidi ya kutisha ya 3G hadi 2Mpbs.
kwa kipindi hiki nipo Zanzibar, na tayari nimeshajaribu laini zote nne. Voda, tigo, zantel na airtel. bila ya kujiunga na packet na kwa kujiunga na internet packet. believe me zote zinatoa spidi mbovu kabisa , na muda mwingi huwa zinakata japo kuwa nipo mjini na ni karibu sana na mnara ambao umesheheni kila aina ya mtandao (wanakodishana minara).
kwenye dashboard inaonekana meno yote ma 5 na sometimez ma 4 yamejaa lakini internet inakatika na kurudi vibaya sana kiasi ya kushindwa hata kuperuz jamii forum.
PIA inaonesha ni EDGE tu sio Hsdpa.
cha ajabu na cha kusikitisha ni kuwa nikiunganisha simu yangu kwa kutumia waya na ku act kama modem kwenye laptop internet inakuja nzuri tu bila ya kukata ijapokuwa spidi ni 10kB/s lakini internet ina browzika vyema. sasa ndio tuseme hii modem ya simu ya mkononi ndio bora kuliko ya tigo. ?
nimejaribu kwenye tools options kuweka settings mbali mbali kama vile GSM only , prefered , wcdma only, prefered lakini zote hazikusaidi kitu.
Pia nimejaribu ile RAS na NDIS zote hazikuzaa matunda.
na nipo na quesiton mark.
please someone help. nataka kutumia modem na sio simu kwa kubrowse internet...... je niifanye settings gani hiii modem ya tigo angalau isikate internet.....?