Sir. Madondolo
Member
- Mar 11, 2015
- 16
- 5
Wakuu habari, akaunt yangu ya utumishi ni mwaka sasa sijaapply kazi yoyoye inagoma.
Mfano kuna nafasi za Forest wametoa upande wa udereva ambacho sina ni cheti cha ufundi.
Kinaweza kuwa ndo sababu unapokosa sifa fulani au inakuaje msaada jaman!
Mfano kuna nafasi za Forest wametoa upande wa udereva ambacho sina ni cheti cha ufundi.
Kinaweza kuwa ndo sababu unapokosa sifa fulani au inakuaje msaada jaman!