Mamserenger
JF-Expert Member
- Oct 14, 2019
- 1,157
- 2,078
Kigoma KasuluMkuu ni issue ya kawaida badilisha
Hard disk HDD,
Hupo wapy tufanye kazi
Kigoma KasuluMkuu ni issue ya kawaida badilisha
Hard disk HDD,
Hupo wapy tufanye kazi
Duh hapo vgum nilijuwa hupo darKigoma Kasulu
Njoo Pm tuelekezane kama ikibidi.Duh hapo vgum nilijuwa hupo dar
Wakuu me PC yangu INA tatizo LA kuganda ganda yhn haigand sana no kidg sana yhn hata ukiwa unacikiliza mziki inaganda ganda ram 8gb HDD GB 500 msaada plz nimeshajarbu kila njia Ila badoKigoma Kasulu
haina driver ya wifi ,mwazo ilikuwa ina window 8.1 ilikuwa ipo okay,nikaitoa nikaweka window 10 ikaanza kusumbua driver ya wifi,nikijaribu kufanya update ku install wifi driver haiji,nikajaribu manual intallation pia ina install lakin haionekani kama ime install .#the issue is no wifi driver in my pc, natumia usb tethering ku aacess network.Inakataaje?
Inakataaje?
error haina mkuu,ila the issue haina wifi driver ,nimejaribu ku update driver zote lakin ya wifi haiji,na pia nimejaribu ku intall manual wifi driver lakin haionekani baada ya ku install.Mwanzo computer ilikuwa inatumia window 8.1 kila kitu kilikuwa okay baada ya kuweka window 10 wifi driver ilikuwa haipo hata nikijaribu ku install lakin haionekan.Em jaribu kutuma screenshot ya hiyo error Kama inawezekana mkuu.
Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
error haina mkuu,ila the issue haina wifi driver ,nimejaribu ku update driver zote lakin ya wifi haiji,na pia nimejaribu ku intall manual wifi driver lakin haionekani baada ya ku install.Mwanzo computer ilikuwa inatumia window 8.1 kila kitu kilikuwa okay baada ya kuweka window 10 wifi driver ilikuwa haipo hata nikijaribu ku install lakin haionekan.
Tatizo la keyboard kuacha kuandika baadhi ya key basi ndio mwanzo WA keyboard kuwa katika mwisho WA muda wake (kufa) cha kufanya tafuta fundi katika eneo ulipo kisha ubadilishe mkuu.PC aina ya Lenovo tatzo lake baadhi y keyboard button key znaacha kufanya kazi karibia kila siku nakutana n button mojawapo ambayo haifanyi kazi. Naomba Msaada mkuu nifanye nini maana keyboard button key zote zinakaribia kua useless.
Mkuu Kama ujafanikiwa bado hapo kuna possibility ya vitu viwili kuwa na tatizo moja ni power problem au bios failedKwema jamani??
PC yangu ni probook 6555b niliizima kuamka asubuhi kuwasha aiwaki fan hazunguki ila vinawaka tu vitaaa kioo akionyeshi chochote.
Ila pia kuna kama vikufuli viwili vinawaka vinazima
View attachment 1678447
Kaka nliwahi set picha ziwe zina slide pindi Comp ili kaa haido muda mrefu.Mkuu sijakuelewa vizur tatizo lako, labda ujaribu kulielezea vizur.
Mkuu mie nina Lenovo ideapad z580 imevunjika maeneo hayo hinge moja imevunjika pia upande wa cover la juu na chini panaposhika hinge pameharibika mno natafuta housing au namna ya kuweza kurepair hiyo issue naomba kama sio wewe basi recommend fundi unaemwaminia.mayai haya, housing zake za moto maana asilimia nyingi zimeshafunuka kutokana na hinges zake na kava la juu kuwa laini mno
ila unaweza ifix isipate tatizo tena na ukapiga sticker vizur isionekane
Sent using Jamii Forums mobile app