Wewe kama unataka Dawa za kushika sema na toa pesa upewe usitake kujuwa mambo mengine Dawa za mitishamba ni nzuri kwa kushika mimba na hazina madhara ukiweza wasiliana na mimi kwa Email yangu hii fewgoodman@hotmail.comHizi dawa ni maarufu sana kwa kina mama wanaoshindwa kupata mimba, naomba mnaozijua mnifafanulie huwa zinafanyaje kazi yake mpaka mtu anashika mimba
hizo dawa nyingi sana zinausiana na mambo ya uchawi ndo maana watoto wengi wanaozaliwa kwa njia hiyo wanakuwa na matatizo mengi na mambo ya ajabu.na mimba nyingi zinazotungwa kwa njia hii zinasumbua sana.hivyo ni vyema wakina mama kufaata ushauri wa kidaktari ambao umethibitika pia kumuomba mungu sana kwani yeye ndo muweza wa kila kitu...
Hizi dawa ni maarufu sana kwa kina mama wanaoshindwa kupata mimba, naomba mnaozijua mnifafanulie huwa zinafanyaje kazi yake mpaka mtu anashika mimba
ukweli wanawake wengi wamesaidiwa na hizi dawa sema yawezekana mtoaji wa dawa huwa hasemi zinaenda kufanya kazi gani? unakuta mtu anatumia bila kujua faida na hasara
Pole sana dada yangu tuwasubiri wataalam watakuelewesha
kwa msaada wangu mimi nitakuitia doctor wa jf MziziMkavu atakusaidia
Ndugu zangu wana JF. Mimi nimeolewa nina miaka 5 ya ndoa. Mwaka 2011 nilipata ujauzito, miez 3 nikawa namwaga maj meupe na mepes kama maji ya bomba, nilikua naenda hospkila baada ya cku 1 au kila cku mana hali ilizid kuwa mbaya, lakini host hawakuona tatizo, mgongo ukawa unauma mpaka nikawa siwezi kusimama, nilikaa na hiyo hali mpaka mimba ya miezi 6 nazunguka hosp na maombi.
Miez 6 na wk 2 nilimwaga dam nying sana nikakimbizwa miko tegeta wakakuta mtoto yuko vizur na dam haikukata mpaka wk 2 nikajifungua njit alifarik baada ya masaa 8, bas nilipumzka miez 6 nikiuguza kiuno mana hakikupona then nikapata ujauzto ukatoka miez 2, nikabeba tena ikatoka miez 3, nikapumzka miez 8 nikabeba tena na kila nikipata ujauzto wiki moja tu nakuwa na hal ya kuwashwa, kuwaka moto kiuno kama uchungu uchungu damu huanza kudondoka mpaka mimba itoke. Mimb ya mwsho ilikua 2013 Nov. Ilivoanza dalili dokta akanipa duphastone had miez 5, miez 7 wk 2 nikaumwa nikapata oprtion alifarik pia.
HIVI SASA NINA MIEZ 8 YA OPRTN, TATZO NIN? NAWEZA BEBA TENA?
Nakushauri Tu Dada Nenda Hospitali Nzuri Ili Ukafanyiwe Uchunguzi Wa Uhakika au Ukishindwa Huko Basi Tafuta Msaada Wa Kiroho Kwa Waombaji Wenye Karama Ya Ki Mungu. Hakuna Linaloshindikana Dada Na Usikate Tamaa. Pole Sana Lakini!
Kuna dada mmoja akiwa na mimba habebi ata kitu chenye uzito wa 1kg, yaani akibeba tu uzito wowote ameharibu mimba, anakaa hivyo mpaka anajifungua