Tatizo la walimu

Tatizo la walimu

Kashishi yetu

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2014
Posts
3,634
Reaction score
3,941
Tatizo la waalimu ni usawa katika mishahara.Daktari akilipwa milion moja mwalimu nae alipwe milion moja, posho apokee, siyo kumpa laptop.
 
Tatizo ni kutopanda madaraja kwa wakati, waalimu wanakaa miaka nane mpaka kumi bila kupanda daraja, mwalimu graduate anayeanza leo atakuwa na mshahara sawa mwanafunzi wake anayemfundisha kitado cha kwanza atakapokuwa mwalimu miaka nane ijayo!

Annual increment ni msamiati wa zamaniiii
 
Hiyo annual increment iilisitishwa tangu 2010 kwa wizara zote ni pigo kwa kwel maana,,refer abv
 
Daktari kasoma miaka mitano mwalimu mitatu,kikawaida mishahara haiwezi kuwa sawa,sema tu walimu nao atleast mishahara yao iwe katika Uwiano mzuri madaraja yapande kwa wakati na posho ziwepo
 
daktari na mwalimu hawawezi kulipwa sana kwa maana kazi wanazofanya sio sawa
 
kama unahisi mshahara ni mdogo acha kazi!
Kama hatutapata kura kwa kutoongeza mshahara basi hatuzihitaji kura za wafanyakazi!
Uwalimu ni kada ya watu walioshindwa kielimu!KUNA WATU WALIWAHI KUSEMA MANENO HAYO
 
kama unahisi mshahara ni mdogo acha kazi!
Kama hatutapata kura kwa kutoongeza mshahara basi hatuzihitaji kura za wafanyakazi!
Uwalimu ni kada ya watu walioshindwa kielimu!KUNA WATU WALIWAHI KUSEMA MANENO HAYO
unaposema ualimu kada ya watu walioshindwa kielimu unautahira kichwani.kumbuka kipaumbele cha kupata mikopo kilikuwa kwa wanaoenda education.Pili kumbuka credit za kujoin chuo kikuu hazina kuchagua waliofeli.Unapozungumzia kada ya walimu usiwe general kiasi hiki.Labda kwa s/msingi.Ualimu kwa sasa ni idara yenye wasomi wengi kuliko idara yeyote hapa Tanzania.Kua na adabu japo kidogo tu.
 
KUNA WATU WALIWAHI KUSEMA MANENO HAYO!mie nimefanya reference tu?
 
kama unahisi mshahara ni mdogo acha kazi!
Kama hatutapata kura kwa kutoongeza mshahara basi hatuzihitaji kura za wafanyakazi!
Uwalimu ni kada ya watu walioshindwa kielimu!KUNA WATU WALIWAHI KUSEMA MANENO HAYO

Una GPA ya ngapi?tuanzie hapo
 
Ni rahisi kutatuliwa matatizo mengine kama vile kupandishwa madaraja kwa wakati, kubadilishiwa miundo na maboresho katika mazingira ya kazi ila hilo la kupandishiwa mshahara kiasi hicho ni ndoto, nadhani/na kusikia idara ya elimu ndo ina watumishi wengi kuliko sasa mshahara ukipanda kwa kiasi hicho kitabaki kitu?
 
Asee huwa wananichekesh sana watu wanaoudharau uwalimu, nakati wanazungukaa na bahashaa kitaa hadi viatu vinaota sugu.Cjawahi pata divishen two since o level am graduate udsm , Via Baed. Naipnda sanaa hii kazi asee , no matter what ! am proud kwa sababu there z no economist, lawyear,accountant, engineer, doctor without aa teacher,am proud of it
 
kama unahisi mshahara ni mdogo acha kazi!
Kama hatutapata kura kwa kutoongeza mshahara basi hatuzihitaji kura za wafanyakazi!
Uwalimu ni kada ya watu walioshindwa kielimu!KUNA WATU WALIWAHI KUSEMA MANENO HAYO
Ilikuwa zamani brother, nowadays Education inachukua passmark kubwa sana , pale unapolinganisha na kada zingine. Fanya utafiti ,especially Baed Udsm division one za kutoshaa sanaa, while pspa, sociology, udbs ,economics , division two $ three za kutosha sanaa
 
ualimu kwa sasa unakimbiliwa na watu wengi ili wapate mkopo na ajira mapema kwa sababu binafsi ikiwemo economic structure ya nyumbani kwao hasa kwa wanaotoka familia maskini watu wanafaulu kwa one za kutosha tu wako education na watu wanavithree vyao wako kozi zingine za kikuda bila kuangalia ushindani ktk soko la ajira ualimu wa zamani sio kama wa sasa sahivi ualimu unachukua watu wenye uwezo sana kiakili kulinganisha na kozi zingine
 
unaposema ualimu kada ya watu walioshindwa kielimu unautahira kichwani.kumbuka kipaumbele cha kupata mikopo kilikuwa kwa wanaoenda education.Pili kumbuka credit za kujoin chuo kikuu hazina kuchagua waliofeli.Unapozungumzia kada ya walimu usiwe general kiasi hiki.Labda kwa s/msingi.Ualimu kwa sasa ni idara yenye wasomi wengi kuliko idara yeyote hapa Tanzania.Kua na adabu japo kidogo tu.

Nasikia hata s/msingi siku hizi kuna university graduates wa kumwaga.
 
Back
Top Bottom