Posta, Mnara wa Askari (Bismini) karibu na Hamidu Mobile shop, kuna mgahawa jengo la empress cinema ya zamani kwa juu, au opp na IPS building, unaweza ulizia mafundi viatu maharufu wanamjua au mafundi saa. au mpigie 0754291099
Posta, Mnara wa Askari (Bismini) karibu na Hamidu Mobile shop, kuna mgahawa jengo la empress cinema ya zamani kwa juu, au opp na IPS building, unaweza ulizia mafundi viatu maharufu wanamjua au mafundi saa. au mpigie 0754291099
Huwenda una setting mbaya za internet ndio maana picha hazidownload na net ipo slow au upo eneo hauna 3g. Fanya mambo haya
1. Angalia juu ya simu mtandao unasoma G au E au 3g au H au h
2. Nenda setting then kwenye wireless and network nenda more halafu nenda mobile network halafu acess point nisomee jina setting za internet kama ni wap au web au internet
Niko Dar, maeneo ninayotembelea ni Tegeta, Sinza, kndoni Msasani nk, mtandao tigo. Naomba unishauri kutokana na taarifa hiyo mtandao gani utanifaa. Asante kwa ushauri Na pia nikupongeze kwa Kazi kubwa na nzuri unayoifanya kuelimisha jamii, Na Kwa wakati. Tafadhali pokea shukranj zangu za dhati.
Acha nijaribu kuweka 3g only kama ulivyoahauri, nitarudi