Habari za jioni ndugu wadau,
Nahitaji msaada na ushauri wenu kuhusiana na tatizo langu kama nilivyoandika. Nimekuwa nikisumbuliwa na dalili kama za vidonda kwa muda mrefu, lakini leo nilipopimwa daktari akanifahamisha kuwa nasumbuliwa na tatizo la sliding hiatal Hernia with GED,
Jambo lililoniumiza ni namna daktari yule alivyonieleza kuwa itanibidi kutumia dawa Siku zote za maisha yangu na maumivu makali ninayohisi.
Wadau naomba kuuliza
1. Je, hiyo ni kweli itanipada kutumia dawa Siku zote za maisha yangu?
2. Je ni kweli ugonjwa huu hauponi?
Naomba ushauri wenu
Nahitaji msaada na ushauri wenu kuhusiana na tatizo langu kama nilivyoandika. Nimekuwa nikisumbuliwa na dalili kama za vidonda kwa muda mrefu, lakini leo nilipopimwa daktari akanifahamisha kuwa nasumbuliwa na tatizo la sliding hiatal Hernia with GED,
Jambo lililoniumiza ni namna daktari yule alivyonieleza kuwa itanibidi kutumia dawa Siku zote za maisha yangu na maumivu makali ninayohisi.
Wadau naomba kuuliza
1. Je, hiyo ni kweli itanipada kutumia dawa Siku zote za maisha yangu?
2. Je ni kweli ugonjwa huu hauponi?
Naomba ushauri wenu