definition
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 972
- 1,583
So sad
ndo dunia ilivyo......
So sad
Jana shemeji yangu mke wa rafiki yangu amenipigia simu anaomba tuonane. Huyu ni ni mke wa rafiki yangu mkubwa. Ambaye tumekuwa pamoja na tumekuwa karibu katika shida na raha hali iliyopelekea hata wake zetu na sasa watoto wetu kuwa marafiki. In short ni kama ndugu ingawa tulikutana naye A level.
Sasa kesi aliyoniletea huyu shemeji yangu imeniacha hoi. Shemeji yangu ana kitu kinamtatiza kweli kweli. Kitu chenyewe ni kwamba jamaa kapungukiwa nguvu za kiume kiasi cha kushindwa kufanya tendo la ndoa.Kwa mujibu wa shemeji yangu wana kama miezi 9 sasa wameshindwa kabisa kuinjoy tendo yao. Jamaa uume hausimami barabara hali inayosababisa kushindwa kuingia tunduni. Lakini akiuchezea katika hali hiyo hiyo ua ulege lege anakoja, tatizo hauwezi kuingia.
Shemeji alimshauri jamaa waende hospitali lakini jamaa hataki. Akamshauri aombe ushauri kwa rafiki zake lakini kwa sababu zilizo wazi jamaa nafikiri anaona aibu kuomba ushauri. Sasa ndipo shemeji kaondoa aibu na kunivaa na kwa kuwa anajua mimi ni mzima habari hii haitakuwa na madhara kwa pande zote.
Na ameniambia jana jioni walikubaliana shemeji anitafute waniambie niwape ishauri. Kwa mujibu wa shemeji jamaa anadai kwenda hospitali ni kujichoresha tu kwani ana amini hakuna dawa labda miti shamba lakini hazijui na anaogopa kuingia mkenge kwa waganga matapeli waliojaa hapa Dar. Shemeji alikuwa anaongea kwa uchungu na huruma sana.
Mimi nimemshauri atumie asali ya nyuki wadogo achanganye na mdalasini. Kijiko kikubwa asubuhi na kingine jioni kwa muda mwezi. Hii dawa niliisomaga humu Jamiiforums siku nyingi zilizopita lakini sijawahi kutumia wala kupata ushuhuda wa mtu aliyetumia. Afya ya mshikaji ni njema tu anafanya mazoezi, hanywi pombe wala kutumia kileo chochote kile.
Nimemwaminisha shemeji kuwa hiyo ndo dawa komesha na tatizo litaisha baada ya mwezi. Kesho nitakutana na jamaa na pia natarajia kumuaminisha kuwa hiyo ni dawa. Nachotaka kujua kutoka kwa wadau hapa je hiyo ni dawa kweli. Je kuna mtu amaefanikiwa kupona tatizo kama hili? Je tiba yake nini?
Asanteni
Nipatie iyo niponemi ninayo ya kwangu inatwa "Supa bana kongo" lazima mtu aombe poo!!
nyanya chungu na vitunguu swaum visaidia nnHili tatizo limekua sana miaka ya 2000's hasa kwa waliokua na miaka 16 ambapo punyeto ziliongezeka sana kutokana na ushawishi wa picha na video za ngono zilizotokana na ukuaji wa technologia km simu za kisasa i.e GPRS na phonerotic km mnakumbuka hasa kwa sisi tuliosomaga shule za bweni!,na punyeto kuacha ni kazi kwelikweli ,mi nmeacha japo jogoo hayuko strong sana ila ndo naeka malengo ya kuanza tizi ya kutosha pia natumia sana tangawizi na mdalasini,natafuna sana tende,natafuna nyanya chungu,nameza kitunguu swaumu!,nina mpango wa nitatafuta mlonge,asali wa nyuki wadogo,nitafanya meditation kupunguza mawazo,nitatafuta mafuta ya mzeituni ili niwe nauchua uume pamoja na kunywa kijiko kimoja daily,.
Nmegundua nina tatizo baada ya kulala na wadada wawili tofauti na bao la kwanza linatoka haraka,uume unachelewa kucmama na ukusimama bado bao la pili linatoka haraka hadi aibu.
Sishangai maana nna mwaka mzima sijasex na nlikua natimiza haja yangu kwa punyeto japo sio kila siku ila ni mara moja au mbili kwa wiki ambapo nlikua najipigia kabao kamoja ka kupunguza stress.
Hii kitu ukiona aibu bila kutafuta suluhu itakuumbua sana,japo mdada wa kwanza nlielala nae alitaka nimwambie tatizo langu ila sikumwambia maana natambua tatizo na nitalishughulikia.,nina siku 20 sasa toka niache nyeto na nitajitahidi nifikishe 40 k alivosema Mzizi mkavu kwamba ukifikia hapo utakua umeacha kabisa,hizo dawa hapo juu ni kwa hisani ya jf na mitandaoni.
Aisee mm nmeachika kwa hilo tatzoo.... Na mm naamin nitalishughulikiaaHili tatizo limekua sana miaka ya 2000's hasa kwa waliokua na miaka 16 ambapo punyeto ziliongezeka sana kutokana na ushawishi wa picha na video za ngono zilizotokana na ukuaji wa technologia km simu za kisasa i.e GPRS na phonerotic km mnakumbuka hasa kwa sisi tuliosomaga shule za bweni!,na punyeto kuacha ni kazi kwelikweli ,mi nmeacha japo jogoo hayuko strong sana ila ndo naeka malengo ya kuanza tizi ya kutosha pia natumia sana tangawizi na mdalasini,natafuna sana tende,natafuna nyanya chungu,nameza kitunguu swaumu!,nina mpango wa nitatafuta mlonge,asali wa nyuki wadogo,nitafanya meditation kupunguza mawazo,nitatafuta mafuta ya mzeituni ili niwe nauchua uume pamoja na kunywa kijiko kimoja daily,.
Nmegundua nina tatizo baada ya kulala na wadada wawili tofauti na bao la kwanza linatoka haraka,uume unachelewa kucmama na ukusimama bado bao la pili linatoka haraka hadi aibu.
Sishangai maana nna mwaka mzima sijasex na nlikua natimiza haja yangu kwa punyeto japo sio kila siku ila ni mara moja au mbili kwa wiki ambapo nlikua najipigia kabao kamoja ka kupunguza stress.
Hii kitu ukiona aibu bila kutafuta suluhu itakuumbua sana,japo mdada wa kwanza nlielala nae alitaka nimwambie tatizo langu ila sikumwambia maana natambua tatizo na nitalishughulikia.,nina siku 20 sasa toka niache nyeto na nitajitahidi nifikishe 40 k alivosema Mzizi mkavu kwamba ukifikia hapo utakua umeacha kabisa,hizo dawa hapo juu ni kwa hisani ya jf na mitandaoni.