Tatizo la mwili kuwasha

Tatizo la mwili kuwasha

Naxria abdalla

Senior Member
Joined
Feb 28, 2025
Posts
158
Reaction score
281
Jaman kuna tatizo limenipata kipindi hiki huwa nawashwa kwenye mwili ikifka muda wa kulala ndio kabisa nazidi hii inatokana na nn jaman inanisumbua mno
 
Google is free:

Tatizo la mwili kuwasha (pruritus) husababishwa na ngozi kavu, mzio, magonjwa ya ngozi kama eczema au kwashakwasha, na magonjwa ya ndani (ini, figo, kisukari). Matibabu ni pamoja na kutumia losheni zisizo na harufu, kuoga maji ya uvuguvugu, na kuepuka kukuna ili kuzuia maambukizi. Ikiwa kuwasha kudumu zaidi ya wiki 6, inashauriwa kumuona daktari.
MSD Manuals +3
Sababu kuu za mwili kuwasha:
  • Ngozi Kavu (Xerosis): Hii ni sababu ya kawaida, hasa wakati wa baridi au kwa wazee.
  • Magonjwa ya Ngozi: Eczema, psoriasis, vipele, na maambukizi ya fangasi.
  • Mzio (Allergies): Mzio wa chakula, dawa, vipodozi, au vitu kama sabuni na nguo za sufu.
  • Kuwashwa kwa Neva (Neuropathic): Uharibifu wa mfumo wa neva unaweza kusababisha kuwasha.
  • Magonjwa ya Ndani: Magonjwa ya ini, figo, anemia ya upungufu wa chuma, na matatizo ya tezi.
  • Wadudu: Kuumwa na mbu, mende, au kupe (scabies).
    MSD Manuals +2
Hatua za Kuchukua (Tiba za Nyumbani):
  • Weka Ngozi Unyevu: Paka moisturizer nzito isiyo na harufu.
  • Oga Maji ya Uvuguvugu: Epuka maji ya moto sana kwani hukausha ngozi.
  • Tumia Sabuni Laini: Oga kwa sabuni zisizo na kemikali kali.
  • vaa Nguo Laini: Tumia nguo za pamba (cotton) zinazoruhusu hewa.
  • Baridi: Tumia mchemraba wa barafu au kitambaa cha baridi kwenye eneo linalowasha.
    Apollo Hospitals
Wakati wa Kumuona Daktari:
  • Kuwasha hudumu zaidi ya wiki mbili na hakupungui kwa utunzaji wa nyumbani.
  • Kuwasha kunaambatana na uchovu, kupungua uzito, au mabadiliko ya joto la mwili.
  • Kuwasha kusikozuilika na kuathiri usingizi
 
Jaman kuna tatizo limenipata kipindi hiki huwa nawashwa kwenye mwili ikifka muda wa kulala ndio kabisa nazidi hii inatokana na nn jaman inanisumbua mno
Sababu ya kuwashwa ni: JOTO

Ufanye nini?
OGA MAJI ya Baridi ukiweza tia Barafu
Utababuka ngozi na virija vya jasho vitaanza kupumua vizuri na muwasho utaacha mara moja

Zingatia sana hii:
Ukimaliza kuoga usijifute na Taulo ili maji yafyonzwe fyonzwe kwenye Ngozi
Hakikisha haujipangusi na Taulo kabisa bakia na hayo maji mwilini mpaka yakauke yenyewe mwilini, hii ni muhimu zaidi ndio unapona muwasho

Ndio unapona hivyo
Ogea Sabuni ya Medicated yoyote mfano AZA, Tetmosol, Family, Deltol, etc

MUHIMU:
Usiende Hospital utaishia kupewa Paracetamol tu basi na ugonjwa utaambiwa huna

Baada ya kuoga na maji kukaukia mwilini usijipakae mafuta ya aina yoyote panda kitandani lala kesho ukiamka utaona unaanza kupona taratibu, ukifanya siku 3 au 4 utakua tayari umepona na tatizo limeacha hapo unaweza kuendelea na utaratibu wako

SABABU:
Ni JOTO Joto limeongezeka sana
 
1) Ngozi kavu
2) Bed sheet chafu
3) Godoro lina bacteria
4) Una minyoo
5) Maji ya kuongea yana chumvi
6) Sabuni ya kufulia inafanya allergies na ngozi yako(haziendani)
 
Jua Kali, meza pilton 1 usiku hutibu na kuweka fresh.

Kuna dawa nime sahau ni kiboko ya mwili kuwasha na kuchoka choka.
(Nenda phamarcy chap wanakupa.).
 
Back
Top Bottom