Tatizo la MPEG version kwenye Panasonic TopDome Television.

Tatizo la MPEG version kwenye Panasonic TopDome Television.

savedlema

Member
Joined
Oct 2, 2011
Posts
32
Reaction score
5
Amani iwe nanyi.

Kama kuna mtaalamu wa mambo ya TV naomba ushauri wake tafadhali:
  • Nimenunua decoder ya TING, nimeunga kwenye TV yangu kinaonesha black&white tuu, hakuna rangi kabisa.
  • Nimejaribu kuunga decoder hiyo kwenye tv ya mtu mwingine, kimeonesha vizuri (colors)
  • Nimejaribu decoder ya StarTimes kwenye TV yangu, imeonesha vizuri.
Kwahiyo, tatizo ni kwenye TV yangu.
Nimekwenda kwa watu wa TING, wamesema tatizo ni kuwa decoder yao ina-support MPEG4 while TV yangu (ni ya zamani hii) ina-support MPEG2 peke yake, hivyo ndio sababu inaonesha black&white. (StarTimes kinasupport MPEG2)

Sasa nataka kujua kama kuna uwezekano wa ku-upgrade TV yangu iweze ku-support MPEG4?
Nitashukuru kwa ushauri.
 
Amani iwe nanyi.

Kama kuna mtaalamu wa mambo ya TV naomba ushauri wake tafadhali:
  • Nimenunua decoder ya TING, nimeunga kwenye TV yangu kinaonesha black&white tuu, hakuna rangi kabisa.
  • Nimejaribu kuunga decoder hiyo kwenye tv ya mtu mwingine, kimeonesha vizuri (colors)
  • Nimejaribu decoder ya StarTimes kwenye TV yangu, imeonesha vizuri.
Kwahiyo, tatizo ni kwenye TV yangu.
Nimekwenda kwa watu wa TING, wamesema tatizo ni kuwa decoder yao ina-support MPEG4 while TV yangu (ni ya zamani hii) ina-support MPEG2 peke yake, hivyo ndio sababu inaonesha black&white. (StarTimes kinasupport MPEG2)

Sasa nataka kujua kama kuna uwezekano wa ku-upgrade TV yangu iweze ku-support MPEG4?
Nitashukuru kwa ushauri.

Hili tatizo lipo. Mina2mia ting AAL-003 ambayo video formats zake ni ntsc, pal, pal-n, pal-m, na pal-bg. Kama tv yako haina hizo utapata picha nyeupe. Ref ting manual for 003, tv system page 25
 
Mkuu TV yako ipo manual select kwenye TV system.hizo zote ambazo ulizoconnect decoder yako zipo auto kwenye TV system settings.weka TV yako auto au weka PAL -I .hii ndo Tanzania TV format.kama bado itakuwa inakusumbua PM me.kuna solution ipo kwa TV zote mpaka LCD au ata LED zinazokataa kuonyesha TZ tvs.
 
Mkuu Arselona, asante sana.

Hivi kwa sasa AAL 003 wanauza bei gani?
 
Na kama kuna mtu anayetumia decoder ya TING AAL 002 naomba anifahamishe color systems zake pia.
 
Mkuu Arselona, asante sana.

Hivi kwa sasa AAL 003 wanauza bei gani?


Mara ya mwisho nilimnunulia jamaa flani wa Bukombe - Shinyanga iliuzwa shiling 285000 ilikuwa December 2012. Wailisema wako kwenye promotion ya noel na mwaka mpya. Kama uko interested naweza kukuachia yanu kwan kwa sasa siitumii. AAL-033.jpg AAL 003.jpg
 

Attachments

  • 22032013322-small.jpg
    22032013322-small.jpg
    16.4 KB · Views: 35
  • AAL-003.jpg
    AAL-003.jpg
    24.7 KB · Views: 30
Back
Top Bottom