Sio muziki tu..Hata mapastor nao wakati wa kutoa mahubiri uwa wanashout sana..Hivi hawawezi kuongea taratibu??...Huu utaratibu wa kupiga kelele wameutoa wapi sijui
Hakuna mahala popote katika biblia panapo sema Mungu anataka tumwabudu kwa makelele.We kama hutaki hizo kelele Mungu anazitaka. Kaa kimya watu wamtukuze Mungu wao
Wasabato umewaonea katika hilo.PIA TUFIKIRI SANA KUHUSU KUNENA KWA LUGHA...(hapa akili yatakiwa) HEBU ONA!
1.walokole(TAG,EAGT, SILOAM,.... nk) wananena
2.wasabato wananena
3.RC kuna kundi linanena(wanaitwa classmatic kama cjakosea, naomba kusahihishwa hapa)
kwa hao wachache wote wanadai wameshukiwa na ROHO TAKATIFU...HEBU JIULIZE
1.Hayo makanisa yanapatana? yanapendana?
2.roho takatfu moja inashuka toka kwa MUNGU mmoja kwenda kwa watu wasio na umoja?
3.je,yeye anenaye kwa lugha anajua akiombacho? au ahubiricho-!!
4.roho takatifu yule anayewashukia wasabato, ndo yule awashukiao wa TAG, EAGT, siloam, KKKT n.k...full gospel,.wa upako, na bado roho moja toka kwa MUNGU mmoja inazdi kuwatenganisha!?
Ziendeshwe kwa utaratibu coz Mungu tunayemwabudi ni wautaratibu sio fujo na makeleleNNILIKUWA NAFWATILIA MAONI YA WATU HAPA NIKACHOKA KABISA. KWA MTIZAMO WANGU KWA DUNIA YA LEO KAMA KUNA WATU WANAOONESHA ANGALAU MOYO WA KUMTAFUTA MUNGU WANGEPASWA WATIWE MOYO. ILA LAH WATU WAMEPONDA KWELI. MUNGU ATUREHEMU SANA. TUWE BASI NA MIPAKA YA KUONGEA TUSIJEJIKUTA TUNAPATA LAANA BURE. WAISLAMU WANAPIGA MAKELEL ASUBUHI SIKU NZIMA WAKRISTO HIVYO HIVYO. MNATAKA NINI? IBADA ZIACHWE?
ASANTE kwa kitia moyo...Hakuna mahala popote katika biblia panapo sema Mungu anataka tumwabudu kwa makelele.
Kama mzazi wako wa hapa duniani unapoongea naye huwezi kumpigia makelele hvyo, kwa nn Mungu umwabudu kwa makelele.
Mungu wetu ni wa utaratibu na anahitaji tumwabudu kwa heshima, kicho na unyenyekevu mkubwa na sio kwa fujo na makelele, hadi unashindwa kutofautisha ukumbi wa disco na nyumba ya ibada.
Soma kitabu cha Ufunuo utaona jinsi malaika mbinguni wanavyotoa ibada kwa Mungu mbinguni na sio kwa makelele.
Mungu awabariki mnapoelewa.
Poa mkuuASANTE kwa kitia moyo...
Jmn mi huwa nataman makanisa yote yawe ktk k2 kmoja
Yan km kuna mtumishi anaenda ndvyo cvyo Yule anayeelewa maandko amrekebshe tena kwa upole na unyenyekevu
-kanisa 1 Mungu ni m1 kwann kunakua na chuki??