mtz daima
JF-Expert Member
- Apr 15, 2015
- 1,561
- 579
Tatizo hili limekua kubwa kiasi cha kua ni moja ya kero kubwa sana zinazowakabili wanafunzi wa hapa chuoni, huku mamlaka husika zikiwa kimyaaa bila kuleta ufumbuzi wa tatizo hili. Si ajabu ukakuta degree seeker ana wiki hajaoga kwa tabu ya maji!View attachment 244821
Tatizo nini sasa why no water