Tatizo la maji UDOM

Tatizo la maji UDOM

mkuu umenena . Ongera

Mkuu hayo maji wanayoyaona leo kuna watu waliyapigania,wapo waliosimamishwa chuo kwa miaka kadhaa achilia mbali kupoteza viungo vya miili yao,leo ukipanga mikakati ya kuwakomboa kesho wanaoeleka kwa watawala,acha dhambi ya uwoga na kujipendekeza iwatafune wakiwa chuoni na kazini.
SILAHA YA MNYONGE NI UMOJA.
 
Tatizo hili limekua kubwa kiasi cha kua ni moja ya kero kubwa sana zinazowakabili wanafunzi wa hapa chuoni, huku mamlaka husika zikiwa kimyaaa bila kuleta ufumbuzi wa tatizo hili. Si ajabu ukakuta degree seeker ana wiki hajaoga kwa tabu ya maji!View attachment 244821

Huo ndio ukuda huo..... Acha uvivu tembea uone wanaume wanavyokesha usiku na mchana kuhakikisha udom mnapata maji ya uhakika ili muoge mara tatu tatu mkipenda.
 
Back
Top Bottom