biznes_dealz
JF-Expert Member
- Jul 4, 2019
- 346
- 124
Wakuu poleni kwa majukumu. Mimi ni mmoja wa wananchi ninayepata adha hii kubwa, najua wahusika wapo humu ndani, natumai nitapata majibu ya kueleweka kujua nini kinaendelea Mbezi Luis, mtaa wa Muhimbili.
Kumefungwa mabomba yapata mwaka sasa, bili zimekuwa zikija kila mwezi kutaka wananchi walipie maji, kipindi chote hicho maji hayajawahi kutoka, je ina maana wahusika hawajui kuwa maji hayajawahi kutoka? Bili zinazotoka ni za kulipia kitu gani?
Na yale mabomba yamekaa kama urembo, nahitaji ufafanuzi na ufumbuzi wa kina MBEZI LUIS, MTAA WA MUHIMBILI.
Kumefungwa mabomba yapata mwaka sasa, bili zimekuwa zikija kila mwezi kutaka wananchi walipie maji, kipindi chote hicho maji hayajawahi kutoka, je ina maana wahusika hawajui kuwa maji hayajawahi kutoka? Bili zinazotoka ni za kulipia kitu gani?
Na yale mabomba yamekaa kama urembo, nahitaji ufafanuzi na ufumbuzi wa kina MBEZI LUIS, MTAA WA MUHIMBILI.