Wadau habari za jioni!
Niende moja kwa moja kwenye mada husika.
PC yangu imepata tatizo la ghafla la kuwaka na kuzima,Yaani kila ninapoiwasha kwenye screen haionyeshi kitu chochote zaidi ya weusi tu na endapo ikionyesha huwa inaonyesha kama chenga chenga hivi.
Sasa wadau ningependa kujua kutoka kwenu hili tatizo linaweza likawa limesababishwa na nini? Na vipi kuhusu utengenezaji wake unaweza kuwa ni wa gharama kiasi gani?
Nawasilisha.
Niende moja kwa moja kwenye mada husika.
PC yangu imepata tatizo la ghafla la kuwaka na kuzima,Yaani kila ninapoiwasha kwenye screen haionyeshi kitu chochote zaidi ya weusi tu na endapo ikionyesha huwa inaonyesha kama chenga chenga hivi.
Sasa wadau ningependa kujua kutoka kwenu hili tatizo linaweza likawa limesababishwa na nini? Na vipi kuhusu utengenezaji wake unaweza kuwa ni wa gharama kiasi gani?
Nawasilisha.