jlupembeTz
Member
- Oct 28, 2019
- 17
- 2
TATIZO LA KUVUJA KWA UMEME (EARTH LEAKAGE)
Wengi wamekuwa wakilipa bili kubwa za umeme ambazo hata wao wanahisi sio halali ukilinganisha na matumizi yao. Tatizo la kuvuja kwa umeme limekuwa kubwa sana,bahati mbaya mafundi wengi wamekuwa wakilitatua kwa namna ya kuliongeza badala ya kuliondoa.
Tatizo hili limekuwa likitokea sana katika nyumba ambazo zinatumia vifaa vya pin tatu yaani live, neutral and earth mfano fridge, pasi, jiko la umeme, n.k. Vilevile, linatokea sana katika nyumba yenye wiring iliyo choka au kwenye nyumba ambayo wire zake zimechubuka.
Kwa kawaida kuna vifaa maalumu vya kutambua uvujaji wa umeme katika nyumba kama vile Earth Leakage, Circuit Breaker ingawaje nyingi zilizo fungwa majumbani siku hizi ni feki hivyo zinashindwa kujizima pale umeme unapo vuja.
Mara nyingi Leakage ya umeme hua inapimwa kwa kuangalia resistance between Live wire and Earth wire na kiutaratibu laizima resistance ya wire hizi mbili izidi 1000000 ohms =1mega ohms
Kama endapo itatokea ikiwa chini ya hapo moja kwa moja tunaamini kuna gharama za ziada
zitakazo ongezeka kutokana na resistance hiyo kushuka chini ya kiwango hicho. Mfano fundi umeme amepima continuity na kukuta resistance between LIVE wire and EARTH wire is 1000 ohms = 1k ohms. Mweye nyumba yenye ukinzani kama huu ataingia gharama ya ziada ambayo inasababishwa na kuvuja kwa umeme.
Kama unahisi unalipa bili ya umeme zaidi ya matumizi yako hakikisha unawasiliana na fundi umeme aje kukupimia continuity ya wiring yako. ZINGATIA:-Kitaalamu uvujaji wa umeme unaopelekea kuongezeka kwa bili ya umeme hakutibiwi kwa kubadilisha EARTH ROAD kama wengi wanavyo hufanya,utaweza kuondoa tatizo hilo kwa ku-trace eneo linalo vujisha umeme na kuliondoa.
HAKIKISHA FUNDI WAKO ANA KIFAA CHA KUPIMIA CONTINUITY “MEGA” ILI AWEZE KUTAMBUA RESISTANCE BETWEEN THE WIRES ON YOUR CIRCUIT. Any obtained resistance can help to determine the added cost by above formula. PENDELEA KUKAGUA WIRING YAKO KILA BAADA YA MIEZI SITA KWA USALAMA WA UCHUMI WAKO, MALIZAKO NA UHAI WAKO.
JOSEPH LUPEMBE ELECTRICAL INSTALLATION DOMESTIC AND INDUSTRIAL .
CALL ME 0769233063/ WHATSAPP
Wengi wamekuwa wakilipa bili kubwa za umeme ambazo hata wao wanahisi sio halali ukilinganisha na matumizi yao. Tatizo la kuvuja kwa umeme limekuwa kubwa sana,bahati mbaya mafundi wengi wamekuwa wakilitatua kwa namna ya kuliongeza badala ya kuliondoa.
Tatizo hili limekuwa likitokea sana katika nyumba ambazo zinatumia vifaa vya pin tatu yaani live, neutral and earth mfano fridge, pasi, jiko la umeme, n.k. Vilevile, linatokea sana katika nyumba yenye wiring iliyo choka au kwenye nyumba ambayo wire zake zimechubuka.
Kwa kawaida kuna vifaa maalumu vya kutambua uvujaji wa umeme katika nyumba kama vile Earth Leakage, Circuit Breaker ingawaje nyingi zilizo fungwa majumbani siku hizi ni feki hivyo zinashindwa kujizima pale umeme unapo vuja.
Mara nyingi Leakage ya umeme hua inapimwa kwa kuangalia resistance between Live wire and Earth wire na kiutaratibu laizima resistance ya wire hizi mbili izidi 1000000 ohms =1mega ohms
Kama endapo itatokea ikiwa chini ya hapo moja kwa moja tunaamini kuna gharama za ziada
zitakazo ongezeka kutokana na resistance hiyo kushuka chini ya kiwango hicho. Mfano fundi umeme amepima continuity na kukuta resistance between LIVE wire and EARTH wire is 1000 ohms = 1k ohms. Mweye nyumba yenye ukinzani kama huu ataingia gharama ya ziada ambayo inasababishwa na kuvuja kwa umeme.
Kama unahisi unalipa bili ya umeme zaidi ya matumizi yako hakikisha unawasiliana na fundi umeme aje kukupimia continuity ya wiring yako. ZINGATIA:-Kitaalamu uvujaji wa umeme unaopelekea kuongezeka kwa bili ya umeme hakutibiwi kwa kubadilisha EARTH ROAD kama wengi wanavyo hufanya,utaweza kuondoa tatizo hilo kwa ku-trace eneo linalo vujisha umeme na kuliondoa.
HAKIKISHA FUNDI WAKO ANA KIFAA CHA KUPIMIA CONTINUITY “MEGA” ILI AWEZE KUTAMBUA RESISTANCE BETWEEN THE WIRES ON YOUR CIRCUIT. Any obtained resistance can help to determine the added cost by above formula. PENDELEA KUKAGUA WIRING YAKO KILA BAADA YA MIEZI SITA KWA USALAMA WA UCHUMI WAKO, MALIZAKO NA UHAI WAKO.
JOSEPH LUPEMBE ELECTRICAL INSTALLATION DOMESTIC AND INDUSTRIAL .
CALL ME 0769233063/ WHATSAPP