tatizo la kutosimamisha uume kwa wakati..!

kabon14

JF-Expert Member
Jun 14, 2016
1,233
867
Habar wakuu.,

Kuna dogo kaniomba ushauri juu ya suala Hilo, ..
Anadai anashindwa kusimamisha uume wake kwa wakati anapokuwa Na mwanamke kitandani.,hasa anapokuwa gizani

Nimgen katika mapenz, umri wake n miaka 20,muda mwingi amekuwa shule sasa amewah kujihusisha Na masuala ya punyeto..!

Anaomba ushauri..!
 
Habar wakuu.,

Kuna dogo kaniomba ushauri juu ya suala Hilo, ..
Anadai anashindwa kusimamisha uume wake kwa wakati anapokuwa Na mwanamke kitandani.,hasa anapokuwa gizani

Nimgen katika mapenz, umri wake n miaka 20,muda mwingi amekuwa shule sasa amewah kujihusisha Na masuala ya punyeto..!

Anaomba ushauri..!
Mwambie asimamishe kwenye mwanga ili akifika gizani ni kuingiza tu!
 
Habar wakuu.,

Kuna dogo kaniomba ushauri juu ya suala Hilo, ..
Anadai anashindwa kusimamisha uume wake kwa wakati anapokuwa Na mwanamke kitandani.,hasa anapokuwa gizani

Nimgen katika mapenz, umri wake n miaka 20,muda mwingi amekuwa shule sasa amewah kujihusisha Na masuala ya punyeto..!

Anaomba ushauri..!
Si vibaya ukisema ni wewe..
 
Habar wakuu.,

Kuna dogo kaniomba ushauri juu ya suala Hilo, ..
Anadai anashindwa kusimamisha uume wake kwa wakati anapokuwa Na mwanamke kitandani.,hasa anapokuwa gizani

Nimgen katika mapenz, umri wake n miaka 20,muda mwingi amekuwa shule sasa amewah kujihusisha Na masuala ya punyeto..!

Anaomba ushauri..!
Unatumia Kivuli cha dogo
Kwanza bado mdogo atulie tu
 
Hahahaha wakuu mnao nituhumu mnazingua, m sio dogo kiasi hicho, nimeleta mada Ili nipate mawazo mapya ilaa ukwel ndo huo, nikitu ambacho sikuwah kukisikia ndo maana..!
 
Pole sana kwa kukumbana na watu waliokushambulia, hahaah hii ni familia kubwa mzee inabidi uuzoee utani wa humu.
Mimi nitatoa mawazo yangu kidogo,
ila nitayamention tu alafu utaniambia kama hayo ulishamshauri then kama bado basi nitafafanua jinsi ya kuzitumia hizo njia.
1.maji
2.joto&AC
3.mazingira
4.kujiamini
 
Back
Top Bottom