Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 10,332
- 10,946
Kuhusu vyakula ni vile vile ninavyo kula mimi (na wanafamilia wengine.Anapenda kula vyakula vya aina gani hasa ???
Lakini sisi wote tunapata choo ila yeyetu.
Week iliyopita tulikula makande na wanafamilia watatu (nikiwemo na mimi) tulipatwa na tatizo la kuharisha lakini mwenzetu wapi! hakunya kabisa mpaka jana ndio aliniambia anajihisi mavi yamembana.
Lakini alipo rudi chooni aliniambia hakupata choo kama alivyo kua akitegemea zaidi ya kujamba tu na kutoa kinyesi kidogo kama cha kuku.