Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 59,180
- 138,474
Wakuu poleni na majukumu.Naomba kama kuna mdau mwenye ufahamu kuhusu tatizo la kumwaga mate au udenda wakati wa usingizi,nini sababu hasa ya tatizo,na tiba yake. Binafsi nina tatizo hili,na lina nitia aibu hasa napokuwa ugenini au napolala na mtoto.asubui unakuta mto umeloa udenda.
Mzizimkavu heshima mbele kaka
Mzizimkavu heshima mbele kaka