Raphael gadau
JF-Expert Member
- Jan 17, 2017
- 1,005
- 303
Kama kichwa kinavyoeleza hapo juu,nina tatizo la kukasirika mara kwa mara bila sababu yeyote naombeni ushauri inafikia muda hadi nafsi yangu inanisuta kiufupi hili tatizo linaniumiza sana. Kama kuna anae ijua dawa ya hili tatizo naomba msaada.