kasagama
Member
- Nov 6, 2016
- 21
- 31
Habarin wanajamii mm nasumbuliwa na kitu kama acid kooni unakuwa unahisi kama kitu kimekukwama
Nishaenda hospitalin kama mara 6 wanashia kunipa dawa tu, kuna muda walishauri nipime madonda ya tumbo wakasema ninayo nikatumia dawa za hospitalin na asali nikaenda kupima nikaambiwa sina japo tatizo la kooni bado linanisumbua mwenye experience anisadie
Nishaenda hospitalin kama mara 6 wanashia kunipa dawa tu, kuna muda walishauri nipime madonda ya tumbo wakasema ninayo nikatumia dawa za hospitalin na asali nikaenda kupima nikaambiwa sina japo tatizo la kooni bado linanisumbua mwenye experience anisadie