OME123
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,498
- 605
Jamaani ndugu zangu nimejaribu kutumia dawa mbalimbali kama amoxilakini haijanisaidia,nasumbuliwa na kubanja kwani hata kucheka mbele za watu siwezi kwani nikicheka tu kidogo ninabanja hadi aibu nisaidieni jamani huu ni mwaka wa plil sasa wa hili tatizo