Tatizo la iphone 4 kutokuwaka

Tatizo la iphone 4 kutokuwaka

godfrey_avya

Senior Member
Joined
Feb 25, 2014
Posts
131
Reaction score
24
Wakuu nina iphone 4 wadogo zangu walichezea sasa kuwaka haiwaki ila ukichomeka charger inaonesha apple logo bila kuwaka tatizo lake nini? msaada wakuu...
 
Nikupe namba ya jamaa mmoja yupo dsm. Huyo jamaa ni fundi sana.
Hapo utakuta betri ime shake au chaji mkanda umekatika
 
Jaribu yafuatayo
Chomeka kwenye chaji na iache muda wa kutosha
Bonyeza power na home batani kwa wakati mmoja kwa muda uone itabrespond vipi?

Je ukiichomeka kwenye pc itune inaitambua?

Kama inaitambua then fanya restore ila utapoteza kila kitu
 
Jaribu yafuatayo
Chomeka kwenye chaji na iache muda wa kutosha
Bonyeza power na home batani kwa wakati mmoja kwa muda uone itabrespond vipi?

Je ukiichomeka kwenye pc itune inaitambua?

Kama inaitambua then fanya restore ila utapoteza kila kitu
iphone sio Android mkuu.ukifanya ivo ni screenshot aise
 
Wakuu nina iphone 4 wadogo zangu walichezea sasa kuwaka haiwaki ila ukichomeka charger inaonesha apple logo bila kuwaka tatizo lake nini? msaada wakuu...

hiyo simu ulinunua kwa mtu na ilikua imeshawahi kufunguliwa sasa usiogope mkuu.hapo ni kuna kijinati flani ivi cha kufungia battery fundi hakukiweka.nenda kwa fundi mwambie akufungie icho kitu apo.atakuchaji elf 10 only.Asante
 
Je unamaanisha inawaka ila haimalizi au na kama ni hivyo itabidi urestore je apple id unaijua
 
iphone sio Android mkuu.ukifanya ivo ni screenshot aise

Ni screen shot kama ina waka na kufanya kazi kawaiada

Hapa tunazungumzia iphone ambayo imegoma kuwaka na ime stuck kwenye Apple logo
 
Mkuu mleta mada kama bado search kitu inaitwa tinyaumbrella itakusaidia my be
 
Back
Top Bottom