Swala ni kwamba ukibadilisha kioo kwa mafundi wasio wazoefu wanakata mawasiliano ya fingerprint na motherboard.
Huwa inahitaji timing kuitia,maana ukiichunguza vizuri ilivyokaa ni kama mfuniko wa sufuria,sasa akinyanyua kioo kinyeji tu shughuli inaishia hapo.
Mkuu inakuaje ukibadili kioo kingine kwa mafundi wenye uzoef je fingerprint inaweza kufanya kaz kwa mara nyingne
Hivi kwa hali hii si ruhusa tu fundi kumlipisha wale jamaa wakifungua simu wanafungua kimaudhi asee utasema simu umeokota au wakibandua kile kioo hadi moyo unahisi una stop hivi dah!
Hivi kwa hali hii si ruhusa tu fundi kumlipisha wale jamaa wakifungua simu wanafungua kimaudhi asee utasema simu umeokota au wakibandua kile kioo hadi moyo unahisi una stop hivi dah!
Nikiwa chuga naipeleka chap kwa benson, Huku dizim labda kwa dealer kabisaHivi kwa hali hii si ruhusa tu fundi kumlipisha wale jamaa wakifungua simu wanafungua kimaudhi asee utasema simu umeokota au wakibandua kile kioo hadi moyo unahisi una stop hivi dah!
Ilikua inasumbua nn mpaka ukabasili touch icSasa mkuu me nilimpa fundi iphone 6 plus ilikua inasumbua touch ic nimempa akaiweke sawa yeye akaenda kuua mashine na simu ilikua na mwezi tangu inunuliwe aisee
Daah mkuu alaf ilikua mpya kabisa daah ukimdai jamaa anadai mama yake anaumwa so anahudumia mgonjwa daah nikaamua nimsamehe ila alinipa 80k tu wakati me simu nilinunua 600k