Tatizo la CCM: Utamaduni wa Chama Vs Utamaduni wa Watanzania. Bila kujua utamaduni wa Watanzania unabadilika hasa nyakati hizi badala ya kubadilika nao CCM bado wana fikiri Watanzania ndiyo watafuata utamaduni wao.
Ili kufanikisha hili ni lazima kwanza uwe na watu wa aina mmoja kama China kitu ambacho hatuna. Tusiwe na dini tofauti kama China kitu ambacho hatuna. Tusitegemee nchi nyingine kwa vitu muhimu kama technologia, dawa, na mahitaji muhimu kitu ambacho hatuna. Sisi hatutengenezi chochote cha maana hata dawa karibu zote zinatoka nje.
Tusiwe na mali na makabila tofauti kama China kitu ambacho hatuna sisi tuna makabila mengi. Kusiwe na rushwa au rushwa iwe chini sana kama China kitu ambacho hatuna. Huwezi kufanikiwa kwenye mfumo ambao hatuna vigezo ndiyo maana Mama anaishia na tekateka na uchawa.
Njia bora ni CCM kubadilika na kushindana kama vyama vingine. Huwezi kuendelea kujidanganya wakati watanzania wanabadilika
Ili kufanikisha hili ni lazima kwanza uwe na watu wa aina mmoja kama China kitu ambacho hatuna. Tusiwe na dini tofauti kama China kitu ambacho hatuna. Tusitegemee nchi nyingine kwa vitu muhimu kama technologia, dawa, na mahitaji muhimu kitu ambacho hatuna. Sisi hatutengenezi chochote cha maana hata dawa karibu zote zinatoka nje.
Tusiwe na mali na makabila tofauti kama China kitu ambacho hatuna sisi tuna makabila mengi. Kusiwe na rushwa au rushwa iwe chini sana kama China kitu ambacho hatuna. Huwezi kufanikiwa kwenye mfumo ambao hatuna vigezo ndiyo maana Mama anaishia na tekateka na uchawa.
Njia bora ni CCM kubadilika na kushindana kama vyama vingine. Huwezi kuendelea kujidanganya wakati watanzania wanabadilika