chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 19,700
- 22,740
Habari wana Jamii Forums,.
Huku wananchi tukilalamika kuhusu suala la ajira nchini kwetu tambua kuna watu wenye ajira zaidi ya moja ndani ya serikali.
Siongei bila facts kwani kuna jamaa wangu wa karibu sana ana ajira mbili tofauti ndani ya serikali hii inayotuambia ajira zimekuwa chache serikalini na hawawezi kuajiri watu.
Binafsi nilishangaa sana maana hajawahi kunieleza kuhusu hilo jambo mpaka nilipombananisha wakati akilalamika mshahara wake kuchelewa kuingia katika akaunti zake mbili tofauti miezi michache iliyopita.
Najiuliza hakuna namna ya kufanya monitoring kuhakikisha mtu hapewi ajira zaidi ya moja katika mashirika ya umma huku wananchi wengine wakikosa hata hiyo moja?
My Take: Kwa hali hii ya mtu kuweza kuwa na ajira zaidi ya moja serikalini basi tatizo la upatikanaji wa ajira katika mashirika ya umma halitakwisha kamwe.
Huku wananchi tukilalamika kuhusu suala la ajira nchini kwetu tambua kuna watu wenye ajira zaidi ya moja ndani ya serikali.
Siongei bila facts kwani kuna jamaa wangu wa karibu sana ana ajira mbili tofauti ndani ya serikali hii inayotuambia ajira zimekuwa chache serikalini na hawawezi kuajiri watu.
Binafsi nilishangaa sana maana hajawahi kunieleza kuhusu hilo jambo mpaka nilipombananisha wakati akilalamika mshahara wake kuchelewa kuingia katika akaunti zake mbili tofauti miezi michache iliyopita.
Najiuliza hakuna namna ya kufanya monitoring kuhakikisha mtu hapewi ajira zaidi ya moja katika mashirika ya umma huku wananchi wengine wakikosa hata hiyo moja?
My Take: Kwa hali hii ya mtu kuweza kuwa na ajira zaidi ya moja serikalini basi tatizo la upatikanaji wa ajira katika mashirika ya umma halitakwisha kamwe.