Tatizo la ajira kikwazo katika kuoa

Tatizo la ajira kikwazo katika kuoa

Muache kuchagua masister duuu w hovyo.
Na nyie kukaa vijiweni mmeoga tu kulalamika vyuma vimekaza muache. Ingieni mtaani pigeni kazi yoyote wanawake wenye akili na upendo wapo tu.
akili zenu mnazijua wenyewe, mioyo yenu vichaka sana,
 
kwa hiyo usipopata ajira huoi?
Utaoa maana utakua umeshapata njia mbadala ya kujiingizia kipato, ila kwa hatua za mwanzo ajira ndio inakua kipaumbele cha kwanza..
 
Mm kinachonifanya ncioe moja ajira mikataba mara mwz mmoja pamoja na sheria mbovu za selikal jitu unalichukua halina mchongo lipo tu gheto bila kaz unafight unajenga nyumba plus bznec then mkiachana et mnagawana huku yy alikuwa anashinda amelala.
 
Utaoa maana utakua umeshapata njia mbadala ya kujiingizia kipato, ila kwa hatua za mwanzo ajira ndio inakua kipaumbele cha kwanza..

hapana... ajira sio lazima iwe mwanzo. inaweza kuwa mwisho...
 
Hiyo si sawa,kuoa hakuhusiani na ajira.Ukiamua kuoa unatakiwa kuwa na kipato na si lazima kitokane na ajira.Huko vijijini watu wanaoa kila siku na kipato chao kidogo kinatokana na ujasiriamali,kilimo,ufugaji nk na watoto wanazaliwa na maisha yanaenda.Sio lazima kuwa na Gari,nyumba yako binafsi ili uweze kuoa mkuu
 
Ikiwa mwisho basi lazima kulikua na mwanzo wa kingine tofauti na ajira
kwa hiyo umekataa kutokuwa najira sio kipaumbele cha kwanza cha kukufanya ukae ukilialia?
 
Utamweka tu ndani mwanamke bila hata ya kujua kula yako kwa siku itaendaje??
Hakuna shida kama anajua huna ajira na bado akaja na ukamweleza ukweli...swali la kujiuliza je amekubalina na hali yako? je hapo pamoja na kwamba huna ajira, je huwa unashinda na njaa? huvai? Kazi za kufanya zipo kama mtu yamekufika ila hakuna kazi ambazo watu wanatamani kuzifanya
 
Hiyo si sawa,kuoa hakuhusiani na ajira.Ukiamua kuoa unatakiwa kuwa na kipato na si lazima kitokane na ajira.Huko vijijini watu wanaoa kila siku na kipato chao kidogo kinatokana na ujasiriamali,kilimo,ufugaji nk na watoto wanazaliwa na maisha yanaenda.Sio lazima kuwa na Gari,nyumba yako binafsi ili uweze kuoa mkuu
Umeongea kweli mkuu, mie huwa najiuliza hasa kwa wale ambao wanaoamini kwenye kuoa na ajira (sijui waliwahi kujiuliza kama umeoa leo alafu kesho yake ajira ikakata hali itakuaje? wakipata jibu basi kinachotakiwa ni kujipanga na kutangaza nia kikubwa kuwa na kipato cha msosi na issue za msingi
 
Naona jinsi vijana mnanyukana kwa hoja... tehteehhh
 
sio hivyo... binafsi huwa nikiona mwanamme analia hana ajira najiskia aibu.
Ni aibu hasa mkuu alafu mtu mwenyewe anasema ni mtoto wa mjini na of course amezaliwa mjini, bora hata alietoka kijijini kaenda mjini kapiga kitabu amemaliza akabaki mjini hata akilalamika tutasema hajayazoea maisha (mbaya zaidi unakuta mtu kapendeza)
 
Hebu n'dadavulie Shem...
Hahah!!

Yaani unakuta mtu hana ajira na muda wa kuoa umefika kwahiyo inabidi asioe kwanza kwakuhofia akioa atashindwa kutoa huduma za kifamilia nyumbani kutokana na kwamba haingizi kipato...

Sijui umeelewa sasa?
 
Hahah!!

Yaani unakuta mtu hana ajira na muda wa kuoa umefika kwahiyo inabidi asioe kwanza kwakuhofia akioa atashindwa kutoa huduma za kifamilia nyumbani kutokana na kwamba haingizi kipato...

Sijui umeelewa sasa?
Nimekulewa Shem,.kweli ww kaka'vuzi..
 
Back
Top Bottom