Tatizo kwenye ndoa yangu naomba msaada

Daaah
Mwanamke ana safari ndefu kwa kweli. Hivi inapotokea mwanamke anaamua kutembea na mume wa mtu mpaka anapachikwa mimba, ni kwamba anakuwa amezidiwa vishawishi na mwanaume (yaan ule msemo usemao "mwanamke ni kiumbe dhaifu") au ni kwamba anafanya makusudi ili kubomoa ndoa ya mwenzie?
 
Binti mmoja Ndoa inamajaribu mengi sana dada angu ambayo yanakupasa kupambana nayo mengine ni majaribu ukiyashinda ndoa itendelea na ukiyashindwa ndoa nayo imekwisha,Na kwa sababu we ni mkristo jaribu kausali sana kwani hakuna lisilowezeka kwa baba yetu. Na pia usifiche hayo matatizo ya mumeo jaribu kuwashirikisha hata wasimamizi wenu wa ndoa katia swala hili pamoja na ndugu wa karibu na mumeo.
Ila suluhisho si kuwaza kuachana na mumeo hilo ni jaribu lako na wewe tu ndiye wakumbadilisha mumeo.
 
Last edited by a moderator:
Halafu nasikia Wakristo kanisa haliruhusu muachane. Hapo sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…