Habarini ndugu zangu,
Mimi nina laptop yangu nimeweka Windows 7 sasa tatizo linakuja kuwa kila nikiiweka Start Windows Normally halafu nika connect na chaji kwa pamoja inakuwa kama ina start hivi baada ya muda inazima kabisa.
Ila nikiiweka kwenye option ya Safe mode wala haizimi sasa nashindwa kuelewa tatizo ni hardware au software katika hii laptop Naomba kuwasilisha kwenu nifanyaje ili isizime!
Mimi nina laptop yangu nimeweka Windows 7 sasa tatizo linakuja kuwa kila nikiiweka Start Windows Normally halafu nika connect na chaji kwa pamoja inakuwa kama ina start hivi baada ya muda inazima kabisa.
Ila nikiiweka kwenye option ya Safe mode wala haizimi sasa nashindwa kuelewa tatizo ni hardware au software katika hii laptop Naomba kuwasilisha kwenu nifanyaje ili isizime!