mndewaerasto
Member
- Jun 26, 2015
- 55
- 32
Wakuu samahani koo langu linakaba sana hadi kuna kipindi nameza kwa shida sijawahi kunywa pombe wala kuvuta sigara naomba mnisaidie tatzo ni nni na tiba yake ni nini
maelezo hayajitoshelezi.Wakuu samahani koo langu linakaba sana hadi kuna kipindi nameza kwa shida sijawahi kunywa pombe wala kuvuta sigara naomba mnisaidie tatzo ni nni na tiba yake ni nini
Ni muda wote au inatokea kwa kipindi tofauti?Wakuu samahani koo langu linakaba sana hadi kuna kipindi nameza kwa shida sijawahi kunywa pombe wala kuvuta sigara naomba mnisaidie tatzo ni nni na tiba yake ni nini