Ukimuuliza mara ya mwisho kumsifu mkewe ni lini ? au mara ya mwisho kutoka nae out ni lini ? au mara ya mwisho kumletea zawadi ni lini ? au hata mara ya mwisho kumkumbatia mkewe bila sababu yoyote ni lini ?
Unaweza kuambiwa hakumbuki ni lini,ndoa sio lele mama na haina fomula ni give and take.
It is a two way traffic. Nasi wanaume tunapenda kufanyiwa hayo...