MTINGIJOLI
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 1,460
- 1,476
- Thread starter
- #41
Hapana! Hakuchora Jinamkuu wengne ndo kama hao,ukimuona unamuona wa maana unampa heshima zote(unaweza hata kumtambulisha kwa watu wako wa karibu)siku mnakutana faragha unakuta ana tattoo kwenye paja au kiunoni,tena jina la mwanamme![]()
