WanaJF,
Kwa sasa tayari uongozi wa Bunge umekamilika kwa maana tayari tunae Spika na naibu wake.
Lakini katika mchakato wa kumpata naibu spika changamoto zilijitokeza moja ikiwa ni malalamiko kutoka UKAWA kuwa mshindi wa nafasi hiyo HANA confidence, ikiwa hii ni moja tu kati ya mapungufu mengi ambayo UKAWA waliibua kuhusu Dr Tulia.
Sasa hemu leo tutathmini kati ya Dr Tulia na aliyekuwa mgombea urais wa CHADEMA, Edward Lowassa, yupi kati ya hawa HANA confidence.
TATHMINI YA KIWANGO CHA CONFIDENCE CHA LOWASSA:
1. Kukimbia Midahalo
Kati ya wagombea wa nafasi ya urais, Lowassa alikuwa kinara wa kukwepa midahalo kila mara inapo andaliwa. Pale anapotoa kisingizio kuwa yupo nje ya Dar, alipewa 'option' ya kutumia njia kama skype bado aliendelea kugoma kushiriki midahalo hiyo. Hii ni confidence?
2. Kutumia Dakika 2 kutoa hotuba
Kati ya wagombea urais, ni Lowassa pekee ndiye alikuwa kivutio na kichekesho kwa wakati mmoja. Maana alikuwa akipata mafuriko na gharika hasa kutoka kwa vijana wanywa viroba na ambao kimsingi hawakuwa na kadi za kupigia kura...lakini wakati huo huo vijana hao wamekuwa wakitoka kwenye mikutano hiyo na vicheko kwa maana matarajio yao yanakuwa hayajafikiwa...mtu walie mshabikia anatoa hotuba dakika 2!!! Hii ni confidence?
3. Kuhairisha mikutano mara kwa mara
Imekuwa ni tabia ya CHADEMA/ UKAWA iliyozoeleka kabisa ya kuhairisha mikutano yake kipindi chote cha kampeni. Unakuta Lowassa amewasili kwenye mkutano kwa mbwembwe kubwa, lakini baada ya nusu saa wanatangazia hadhira kuwa mkutano umeahirishwa kisa 'mic' mbovu...mara jukwaa sio imara; na upuuzi wa aina hiyo. Kumbe kiuhalisia mzee wa machooni (Lowassa) anakuwa ameshafanya yake (amejinyea) kwa uoga wa watu. Je hii ni confidence?
Pamoja na madhaifu yote hayo na mapungufu ya kiwango cha juu ya aliyekuwa mgombea urais wa CHADEMA/ UKAWA, bado mashabiki na wanachama wa UKAWA waliamini mtu wa aina hiyo ataweza kuleta mabadiliko ya nchi. Ikiwa mtu dhoofu na wa hovyo hivyo angeweza kuleta mabadiliko ya nchi...sidhani kama mtu strong, educated and ambitious kama Dr Tulia atashindwa kuleta uongozi bora ndani ya Bunge kwa nafasi ya unaibu spika.
#TumpeNafasiDr.Tulia
Kwa sasa tayari uongozi wa Bunge umekamilika kwa maana tayari tunae Spika na naibu wake.
Lakini katika mchakato wa kumpata naibu spika changamoto zilijitokeza moja ikiwa ni malalamiko kutoka UKAWA kuwa mshindi wa nafasi hiyo HANA confidence, ikiwa hii ni moja tu kati ya mapungufu mengi ambayo UKAWA waliibua kuhusu Dr Tulia.
Sasa hemu leo tutathmini kati ya Dr Tulia na aliyekuwa mgombea urais wa CHADEMA, Edward Lowassa, yupi kati ya hawa HANA confidence.
TATHMINI YA KIWANGO CHA CONFIDENCE CHA LOWASSA:
1. Kukimbia Midahalo
Kati ya wagombea wa nafasi ya urais, Lowassa alikuwa kinara wa kukwepa midahalo kila mara inapo andaliwa. Pale anapotoa kisingizio kuwa yupo nje ya Dar, alipewa 'option' ya kutumia njia kama skype bado aliendelea kugoma kushiriki midahalo hiyo. Hii ni confidence?
2. Kutumia Dakika 2 kutoa hotuba
Kati ya wagombea urais, ni Lowassa pekee ndiye alikuwa kivutio na kichekesho kwa wakati mmoja. Maana alikuwa akipata mafuriko na gharika hasa kutoka kwa vijana wanywa viroba na ambao kimsingi hawakuwa na kadi za kupigia kura...lakini wakati huo huo vijana hao wamekuwa wakitoka kwenye mikutano hiyo na vicheko kwa maana matarajio yao yanakuwa hayajafikiwa...mtu walie mshabikia anatoa hotuba dakika 2!!! Hii ni confidence?
3. Kuhairisha mikutano mara kwa mara
Imekuwa ni tabia ya CHADEMA/ UKAWA iliyozoeleka kabisa ya kuhairisha mikutano yake kipindi chote cha kampeni. Unakuta Lowassa amewasili kwenye mkutano kwa mbwembwe kubwa, lakini baada ya nusu saa wanatangazia hadhira kuwa mkutano umeahirishwa kisa 'mic' mbovu...mara jukwaa sio imara; na upuuzi wa aina hiyo. Kumbe kiuhalisia mzee wa machooni (Lowassa) anakuwa ameshafanya yake (amejinyea) kwa uoga wa watu. Je hii ni confidence?
Pamoja na madhaifu yote hayo na mapungufu ya kiwango cha juu ya aliyekuwa mgombea urais wa CHADEMA/ UKAWA, bado mashabiki na wanachama wa UKAWA waliamini mtu wa aina hiyo ataweza kuleta mabadiliko ya nchi. Ikiwa mtu dhoofu na wa hovyo hivyo angeweza kuleta mabadiliko ya nchi...sidhani kama mtu strong, educated and ambitious kama Dr Tulia atashindwa kuleta uongozi bora ndani ya Bunge kwa nafasi ya unaibu spika.
#TumpeNafasiDr.Tulia