Tathmini: Lowassa amemfunika Dr. Slaa

Wakati ule haukuwa muungano kama sasa, na wakati ule wapiga kura hawakuwa wengi kama mara hii, mara hii wamekuwa mara 2 ya 2010, kama unatazama hivyo Hata magufuli kapata kura nyingi zaid ya kikwete 2010

Usiropoke bila ya kuelewa. Angalia zaidi asilimia ya kukubalika. Si kila mwana-UKAWA amempigia kura Lowassa

Mzee Tupatupa
 
Usiropoke bila ya kuelewa. Angalia zaidi asilimia ya kukubalika. Si kila mwana-UKAWA amempigia kura Lowassa

Mzee Tupatupa

Nadhani wewe ndio unaropoka, hebu chukua kura za lipumba 2010 add za Slaa 2010 , Halafu chukua za wale washirika pia,add kwa Slaa,Halafu chukua wapiga kura wa 2010 na wa sasa utapata jibu, sijaona ongezeko lolote la kura za lowassa, hata kama ukawa wangekuwa lema hizi hizi kura zingefika
 

We Wacha tu hizo pesa za ruzuku watatafutana kwa tochi. khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Last edited by a moderator:

Umeongea ukweli kabisa nadhani pombe magufuli ana kazi ya ziada kuaminisha wananchi kuwa hawakukosea kumchagua
 
Usiangalia kipimo kimoja kama vile kura peke yake. Angalia pia muda. Je Lowasa angegombea 2010 angepata kura alizopata Dr. Slaa? Tafiti zote zinazingatia pia muda. Wakati wa sasa wapiga kura wengi wameongeza uwelewa wao. Mafanikio ya Lowasa ya sasa yamelala juu ya juhudi binafsi za Dr. Slaa kuwaamsha kuwaelimisha watanzania na kuujenga upinzani. Lowasa ni mwizi wa matunda aliyoivisha Dr. Slaa. Huwezi kumpambanisha anayetaka vya bwerere na mtafutaji. Lowasa ni mwizi wa pesa mwizi wa juhudi za watu na mwizi wa sifa za wengine
 
Kwa back up ya Sumaye,Kingunge na makapi kibao pamoja na bajeti aliyoitumia Edo sioni unafuu wowote labda kama ujio wake ulilenga kumfunika Slaa.
 

Sawa ameongeza ushindi kumbuka 2010 Dr. Slaa alikuwa na kura za chadema tuu, wakati sasa hivi Lowasa ana kura wa apiga kura wa CUF pia. Ushindi wa sasa hivi umechangiwa na mambo mengi likiwepo la vyama kuunganisha nguvu, mbona lenyewe hamlisemi?
 
Kwanza kama ulifuatilia vizuri uchaguzi wa 2010, uchaguzi wa sasa hivi hata kama Lowasa asingesimamishwa na chadema ungekuwa na ushindani mkali tuu, hususan baada ya vyama vya upinzani kuunganisha nguvu. Hilo halipingiki kabisa kama unabisha wewe ni mbishi tuu.
 


CCM wanajitenga na ajenda ya ufisadi kwenye majukwaa ya kisiasa wakati Chadema wana nafasi ya uthibitsja kiuhalisia ktk maisha ya kawaida. Baada ya siasa za jukwaani CCM sasa hivi watalazimika kutenda matendo yanayopinga rushwa. Sasa hivi wasipokuwa makini hakuna mtu yeyote atakayewaelewa 2020 maana kiutendaji bado watu wanaamini CCM bila rushwa ni kama haiwezekani.
 


Siyo kweli, CCM walipiga bao upinzani baada ya kumsimamisha magufuli ambaye anakubalika hata na wapinzani, lkn UKAWA pia walipinga bao walipomsimamisha Lowassa ambaye anakubalika pia na wananchi wengi licha ya kuandamwa na kashfa ya Richmond ambayo wengi wanaamini ina ajenda ya kisiasa ndani yake.
 
Wakati ule haukuwa muungano kama sasa, na wakati ule wapiga kura hawakuwa wengi kama mara hii, mara hii wamekuwa mara 2 ya 2010, kama unatazama hivyo Hata magufuli kapata kura nyingi zaid ya kikwete 2010

Thread inataja idadi na aslimia. Wewe unaongelea idadi tu..... Umegundua ulipokosea? % n number
 
Huwezi kumlinganisha Dr slaa na lowassa. Hasa kwenye upande wa kiuchumi ambayo ni sifa muhimu ya kujitafutia umaarufu.
 


Zaidi ya hayo imeonekana pia kuwa Lowassa amepata kura nyingi zaidi (zaidi ya milioni 6 kuliko aliyechaguliwa mwaka 2010 Rais Kikwete aliyeshinda kwa kura milioni tano na ushee. Teh teh
 

[TD="class: xl65, width: 35"] [/TD]
[TD="class: xl65, width: 44"]CCM %[/TD]
[TD="class: xl65, width: 75"]CHADEMA %[/TD]
[TD="class: xl65, width: 175"]VYAMA VYOTE VILIVYOBAKI %[/TD]
[TD="class: xl65, width: 62"]UKAWA %[/TD]
[TD="class: xl65, width: 135"]VYAMA VILIVYOBAKI %[/TD]
[TD="class: xl66, width: 45"]100%[/TD]

[TD="class: xl65"]2010[/TD]
[TD="class: xl65"]61[/TD]
[TD="class: xl65"]26[/TD]
[TD="class: xl65"]13[/TD]
[TD="class: xl65"]NIL[/TD]
[TD="class: xl65"]NIL[/TD]
[TD="class: xl65"]100[/TD]

[TD="class: xl65"]2015[/TD]
[TD="class: xl65"]58[/TD]
[TD="class: xl65"]NIL[/TD]
[TD="class: xl65"]NIL[/TD]
[TD="class: xl65"]38[/TD]
[TD="class: xl65"]4[/TD]
[TD="class: xl65"]100[/TD]

Siyo kweli : 2010 (Vyama vya upinzani vilipata jumla ya 39% (26 % + 13% =39% ambavyo mwaka huu 2015 wanaita Ukawa 38% +4%) unaona tofauti ni ndogo sana, pia ukiangalia pesa ambazo Lowasa alishawekeza havilingani kabisa na na uo ushindi, wakati huo huo Dr. Slaa hakuwekeza pesa nyingi.
 
Hujaelezea hapo katikati ya 2010 na 2015 effort aliyoweka Dr Slaa kuimarisha na kupanua chama..

#MboweMustGo

Kwa bahati mbaya hili linaweza lisionekane, vijana wengi waliandaliwa kugombea mwaka huu na hii inajionyesha katika majimbo ambayo CHADEMA imeshinda ubunge lakini kura za Urais CCM wanaongoza.

Lowassa kasaidia sana kupunguza kura za CCM na si kuimarisha CDM, hatujui kama hawa watu wake watabaki upinzani au watarudi kwao
 

Ni hivi mi ntakuwa wa kwanza kuandamana kupinga hilo lako unalolisema... Mbowe Must stay.... he is there to stay!!! Wewe si ulikuwa ccm sasa ya CDM yanakuhusu nini???
 

Umesema kweli ndugu yangu! Dr.Slaa alipata 26% akipambana na Rais aliye mamlakani tena aliekuwa ana kibindoni na 80%, Chadema ilikuwa na Mgogoro wa ndani na Zitto, haikuwa na Backup wala fedha za kampeni leo baada ya kazi kubwa ya uhamasishaji 2010-2015, sapoti ya umoja wa Ukawa, ukwasi wa fedha zilizotumika, mpasuko uliotokea ccm watu kuhama, ccm kuleta mgombea mpya n.k Wamepunguza kura za urais ccm kutoka 61% ya Rais Kikwete mpaka 58% za Rais Mteule Dr.Magufuli i.e only 3% tena baada ya wazee na kina mama wengi kuogopa fujo kupiga kura, Dr.Slaa alisema Siasa ni Science Mbatia akapinga akasema ni Sanaa saaa kaona matokeo ya sanaa za mgombea wake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…