Habari wanaJf,heading straight to the topic baada ya kufanya tathimini na upelelezi nimekuja kugundua ya fatayo juu ya afya za akili kwa vijana.
Ukweli usemwe changamoto ni nyingine sana vijana wanapitia especially wakiume kwenye jamii zetu za Kiafrika.
Ajira ni ngumu, biashara zimeyumba, kuna waliotumbuliwa, walio disqualify kuendelea na masomo, mapenzi imekuwa vita ya timing,kuna walio lawitiwa na kubakwa wakiwa watoto, kuna walio filisika na mengine mengi.
Hizi changamoto kibinadamu lazima ziku disturb mental maisha yetu yamekuwa kama tatizo ni hali ya kawaida kwenye maisha na tumeanza kuyapokea bila kujua wahusika wanapitia mental break down and psychological problems.
Personal baada ya kupata changamoto kadhaa nikajikuta nimesimama mwenyewe kujitoa, which of bado na struggle kutoka naelewa nikitoka kwenye ili things will never be the same.
Nachoweza kushauri serikali na private sectors kwenye upande wa medical issue wajitaidi kufungua Psychology Consultation services na Stress Relief centers vijana tunaitaji huo msaada, tusipo kuwa makani mbeleni tutakuwa na kizazi cha watu manunda, Hopeless,Emotionless na ata Drug additives wakutosha. Hali ni mbaya wengi tunatembea kama time bomu.
KUTAMBUA TATIZO NI KUPUNGUZA MACHUNGU.
Ukweli usemwe changamoto ni nyingine sana vijana wanapitia especially wakiume kwenye jamii zetu za Kiafrika.
Ajira ni ngumu, biashara zimeyumba, kuna waliotumbuliwa, walio disqualify kuendelea na masomo, mapenzi imekuwa vita ya timing,kuna walio lawitiwa na kubakwa wakiwa watoto, kuna walio filisika na mengine mengi.
Hizi changamoto kibinadamu lazima ziku disturb mental maisha yetu yamekuwa kama tatizo ni hali ya kawaida kwenye maisha na tumeanza kuyapokea bila kujua wahusika wanapitia mental break down and psychological problems.
Personal baada ya kupata changamoto kadhaa nikajikuta nimesimama mwenyewe kujitoa, which of bado na struggle kutoka naelewa nikitoka kwenye ili things will never be the same.
Nachoweza kushauri serikali na private sectors kwenye upande wa medical issue wajitaidi kufungua Psychology Consultation services na Stress Relief centers vijana tunaitaji huo msaada, tusipo kuwa makani mbeleni tutakuwa na kizazi cha watu manunda, Hopeless,Emotionless na ata Drug additives wakutosha. Hali ni mbaya wengi tunatembea kama time bomu.
KUTAMBUA TATIZO NI KUPUNGUZA MACHUNGU.