Ndo hivyo Mkuu sheria ziko hivyo nje ya kituo cha kazi lazima alipwe mtu posho tofauti na kama upo hapo wilayani huwezi lipwa posho so bora wote warudi mkoani hafu watakuwa wanaenda kwahiyo hapo kuna perdiem na night za kutosha, TARURA panakuwa patamu kama TANROADS.