ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 44,005
- 50,732
Acha kutetea wiziKilomita 1 ya lami inagharimu milioni 500.
Kwa hiyo kilomita 19 x500 milion= bilioni 9.5.
Kwa hiyo hesabu iko sawa.
Kama hujui kitu unauliza; na siyo kutoa shutuma na kuleta taharuki isiyo na lazima.
Eleza huo wizi umekujaje wakati km 1 inajengwa kwa 500 milioni na hili alilisema Magu mwenyewe.Acha kutetea wizi
Tena ya kwanza! Halafu Somalia haimo kwenye 10 bora?! Taarifa ya kupikwa hiyo!Baada ya kuiona Rwanda naamini hii taarifa sio ya kuaminika
Hivi wewe Kwa akili zako Kuna lami ya maana ya kujengwa Kwa mil.500?Kilomita 1 ya lami inagharimu milioni 500.
Kwa hiyo kilomita 19 x500 milion= bilioni 9.5.
Kwa hiyo hesabu iko sawa.
Kama hujui kitu unauliza; na siyo kutoa shutuma na kuleta taharuki isiyo na lazima.
Halafu TANROADS ipi inajenga km 1 kwa bilion 2.2?
Mimi sijasema hapo Kuna wizi ila naona ni ujenzi wa kienyeji na WA kuripua.Eleza huo wizi umekujaje wakati km 1 inajengwa kwa 500 milioni na hili alilisema Magu mwenyewe.
Siyo kila kitu mnalaumu.
Hesabu zako zina walakini.Wote tunafahamu kwamba Vijijini ndiko kunafanyika shughuli za Kilimo na hivyo msimu wa mazao Barabara za huko Huwa busy sana.
Sasa Tarura eti wanajenga km 19.25 za lami Kwa Bilioni 9.86 sawa na wastani wa 460/Km. Hivi hizi lami za Tarura ni lami kweli au mzaha?
Mbona TanRoads wanajenga 1km/1-2.2bln kutegemeana na aina ya lami?
--
NAIBU Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Dkt. Festo Dugange amemtaka mkandarasi anayetekeleza mradi wa ujenzi wa barabara ya Igwachanya - Itulahumba yenye urefu wa kilometa 19.25 itakayogharimu Sh. Bilioni 9.86 kwa kiwango cha lami kuanza kazi kwa wakati na kuikamilisha katika muda uliopangwa kwenye mkataba.
Dugange ametoa agizo hilo wakati akishuhudia makabidhiano ya mkataba baina ya Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) na mkandarasi kampuni ya Summer Communication Ltd itakayoanza kujengwa Desemba, 5 mwaka huu katika Wilaya ya Wanging'ombe mkoani Njombe.
Akizungumza na wananchi wa vijiji vya Igwachanya na Itulahumba waliojitokeza katika tukio hilo, Dk. Dugange amemshukuru Rais Dk.Samia Suluhu Hassan kwa kutoa kiasi hicho cha fedha na kumtaka mkandarasi huyo kuzingatia thamani ya fedha pamoja na kujengwa kwa kiwango bora kwa kuwa ni barabara muhimu itakayoifungua wilaya hiyo.
Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Wanging'ombe, Claudia Kitta ametoa rai kwa mkandarasi wa mradi huo kutoa fursa ya ajira kwa wananchi wa eneo hilo badala ya kutoa ajira kwa wananchi wa maeneo ya mbali.
Naye, Meneja wa TARURA Wilaya ya Wanging'ombe, Boniface Kasambo amesema mradi huo utakamilika ndani ya miezi 20 na kukamilika kwake kutarahisisha usafiri kwa abiria na mazao, kuimarisha kipato cha wananchi pamoja na kuifungua Wilaya hiyo.
My Take
Hawa ndio wanasababisha Tanzania kuwa ya Mwisho Kwa Ubovu wa Barabara Duniani.
View: https://www.instagram.com/p/Cz6ojIUIOdK/?igshid=NmJiYWZiY2E0Mg==
Wote tunafahamu kwamba Vijijini ndiko kunafanyika shughuli za Kilimo na hivyo msimu wa mazao Barabara za huko Huwa busy sana.
Sasa Tarura eti wanajenga km 19.25 za lami Kwa Bilioni 9.86 sawa na wastani wa 500/Km. Hivi hizi lami za Tarura ni lami kweli au mzaha?
Mbona TanRoads wanajenga 1km/1-2.2bln kutegemeana na aina ya lami?
--
NAIBU Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Dkt. Festo Dugange amemtaka mkandarasi anayetekeleza mradi wa ujenzi wa barabara ya Igwachanya - Itulahumba yenye urefu wa kilometa 19.25 itakayogharimu Sh. Bilioni 9.86 kwa kiwango cha lami kuanza kazi kwa wakati na kuikamilisha katika muda uliopangwa kwenye mkataba.
Dugange ametoa agizo hilo wakati akishuhudia makabidhiano ya mkataba baina ya Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) na mkandarasi kampuni ya Summer Communication Ltd itakayoanza kujengwa Desemba, 5 mwaka huu katika Wilaya ya Wanging'ombe mkoani Njombe.
Akizungumza na wananchi wa vijiji vya Igwachanya na Itulahumba waliojitokeza katika tukio hilo, Dk. Dugange amemshukuru Rais Dk.Samia Suluhu Hassan kwa kutoa kiasi hicho cha fedha na kumtaka mkandarasi huyo kuzingatia thamani ya fedha pamoja na kujengwa kwa kiwango bora kwa kuwa ni barabara muhimu itakayoifungua wilaya hiyo.
Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Wanging'ombe, Claudia Kitta ametoa rai kwa mkandarasi wa mradi huo kutoa fursa ya ajira kwa wananchi wa eneo hilo badala ya kutoa ajira kwa wananchi wa maeneo ya mbali.
Naye, Meneja wa TARURA Wilaya ya Wanging'ombe, Boniface Kasambo amesema mradi huo utakamilika ndani ya miezi 20 na kukamilika kwake kutarahisisha usafiri kwa abiria na mazao, kuimarisha kipato cha wananchi pamoja na kuifungua Wilaya hiyo.
My Take
Hawa ndio wanasababisha Tanzania kuwa ya Mwisho Kwa Ubovu wa Barabara Duniani.
View: https://www.instagram.com/p/Cz6ojIUIOdK/?igshid=NmJiYWZiY2E0Mg==
Kaa kwa kutulia chiefWote tunafahamu kwamba Vijijini ndiko kunafanyika shughuli za Kilimo na hivyo msimu wa mazao Barabara za huko Huwa busy sana.
Sasa Tarura eti wanajenga km 19.25 za lami Kwa Bilioni 9.86 sawa na wastani wa 500/Km. Hivi hizi lami za Tarura ni lami kweli au mzaha?
Mbona TanRoads wanajenga 1km/1-2.2bln kutegemeana na aina ya lami?
--
NAIBU Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Dkt. Festo Dugange amemtaka mkandarasi anayetekeleza mradi wa ujenzi wa barabara ya Igwachanya - Itulahumba yenye urefu wa kilometa 19.25 itakayogharimu Sh. Bilioni 9.86 kwa kiwango cha lami kuanza kazi kwa wakati na kuikamilisha katika muda uliopangwa kwenye mkataba.
Dugange ametoa agizo hilo wakati akishuhudia makabidhiano ya mkataba baina ya Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) na mkandarasi kampuni ya Summer Communication Ltd itakayoanza kujengwa Desemba, 5 mwaka huu katika Wilaya ya Wanging'ombe mkoani Njombe.
Akizungumza na wananchi wa vijiji vya Igwachanya na Itulahumba waliojitokeza katika tukio hilo, Dk. Dugange amemshukuru Rais Dk.Samia Suluhu Hassan kwa kutoa kiasi hicho cha fedha na kumtaka mkandarasi huyo kuzingatia thamani ya fedha pamoja na kujengwa kwa kiwango bora kwa kuwa ni barabara muhimu itakayoifungua wilaya hiyo.
Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Wanging'ombe, Claudia Kitta ametoa rai kwa mkandarasi wa mradi huo kutoa fursa ya ajira kwa wananchi wa eneo hilo badala ya kutoa ajira kwa wananchi wa maeneo ya mbali.
Naye, Meneja wa TARURA Wilaya ya Wanging'ombe, Boniface Kasambo amesema mradi huo utakamilika ndani ya miezi 20 na kukamilika kwake kutarahisisha usafiri kwa abiria na mazao, kuimarisha kipato cha wananchi pamoja na kuifungua Wilaya hiyo.
My Take
Hawa ndio wanasababisha Tanzania kuwa ya Mwisho Kwa Ubovu wa Barabara Duniani.
View: https://www.instagram.com/p/Cz6ojIUIOdK/?igshid=NmJiYWZiY2E0Mg==
Sio kweli Hawa Tarura wanajenga vilami vyao vya tani 10,huu ninujinga mwingine.Kiuhalisia TANROADS ndio wameongeza sana bei za lami. Na baadhi ya watu kule TANROADS wanamlaumu Magufuli kwamba yeye ndio aliseti bei za lami kuwa kubwa Tanzania, kiasi kwamba kila kampuni ya kigeni inayokuja kufanya kazu inatembea kwenye bei hizo hizo.
Mimi sijasema hapo Kuna wizi ila naona ni ujenzi wa kienyeji na WA kuripua.
Pili hao wanajenga barabara za 10t sehemu ambayo Kuna uzalishaji harafu baadae waje kuanza Kuzuia magari mkubwa ya kubeba mazao au mbao kisa Yako Juu ya 10t.
Sasa hizo ni akili au matope? Unafungua fursa harafu unaweka vikwazo.
Hiyo barabara ya lami iliyojengwa km 1 kwa bilion 2.2 ni ipi?Hivi wewe Kwa akili zako Kuna lami ya maana ya kujengwa Kwa mil.500?
Nikikuletea jibu la 2.2bln/Km utakuwa tayari kuitwa mpumbavu?
Jiongeze, Bei ya Kilometa ya lami haiwezi kuwa sawa nchi nzima, Wastani ni billioni 1 kuna maeneo itapungua hiyo, kuna maeneo itazidi hiyo.Hivi wewe Kwa akili zako Kuna lami ya maana ya kujengwa Kwa mil.500?
Nikikuletea jibu la 2.2bln/Km utakuwa tayari kuitwa mpumbavu?
Wewe wa.wapi ,Kwa Tarura hiyo ndio bei Yao ya 500/kmJiongeze, Bei ya Kilometa ya lami haiwezi kuwa sawa nchi nzima, Wastani ni billioni 1 kuna maeneo itapungua hiyo, kuna maeneo itazidi hiyo.