Tarime yote ni Chadema tuu??

Mmawia

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
121,947
95,237
Wana jamvi amani iwe kwenu. Hali ya CCM wilayani Tarime inazidi kudhoofu baada ya wananchi kushuhudia jinsi CCM inavyo wakumbatia wala rushwa wana Tarime hasa kina mama wameamua kukihama CCM na kujiunga na chama bora barani Afrika CHADEMA, tizameni picha zote hapa chini

 
Saaafi mura.
 
Nadhani umekosea na unatakiwa useme Kiusahihi kabisa kwamba Wana Mkoa wa Mara ( Musoma ) siyo Watu wa mchezo mchezo.
Mbona musoma iko chini ya CCM

Chadema waliangukia pua mbunge wake ni Vedastus Mathayo

Mm nawakubali Tarime musoma kuna wajita ni wanafiki sana hawa watu na ndiyo wengi pale

Kule tarime ni kurya people never give up
 
Mbona musoma iko chini ya CCM

Chadema waliangukia pua mbunge wake ni Vedastus Mathayo

Mm nawakubali Tarime musoma kuna wajita ni wanafiki sana hawa watu na ndiyo wengi pale

Kule tarime ni kurya people never give up
Utatuitaje WANAFIKI .... silika Ana tabia ya mtu au kikundi cha watu fulani isiwe kigezo cha kutukana wenzio .... THAT'S UNFAIR
 
uanachama ni zaidi ya kadi na uzalendo ni zaidi ya chama; tuambie baada ya kuwa Chadema maisha Yao yamepata mabadiliko gani chanya tofauti na hapo awali?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…