Wana jamvi amani iwe kwenu.Hali ya Ccm wilayani Tarime inazidi kudhoofu baada ya wananchi kushuhudia jinsi Ccm inavyo wakumbatia wala rushwa wana Tarime has a kina mama wameamua kukihama Ccm na kujiunga na chama bora barani Afrika CHADEMA,tizameni picha zote hapa chini