Saaafi mura.Wana jamvi amani iwe kwenu.Hali ya Ccm wilayani Tarime inazidi kudhoofu baada ya wananchi kushuhudia jinsi Ccm inavyo wakumbatia wala rushwa wana Tarime has a kina mama wameamua kukihama Ccm na kujiunga na chama bora barani Afrika CHADEMA,tizameni picha zote hapa chini
Wana Tarime siyo watu wa mchezo mchezo
Mbona musoma iko chini ya CCMNadhani umekosea na unatakiwa useme Kiusahihi kabisa kwamba Wana Mkoa wa Mara ( Musoma ) siyo Watu wa mchezo mchezo.
Wana wa mkoa wa Mara siyo watu wa kuipenda ccm
Inaandikwa 'bvhiita ni bvhiita mura'Vhiiita ni vhiiita mura
Mnanuka rushwa toka kwa mwenyekiti wenu mpaka wateule wake!Kuna tunaoipenda CCM tena sana tu kama Mimi mwenyewe hapa GENTAMYCINE ila tu hatupendi ' Unafiki ' na ' Uwongo ' bali tunataka Siasa na Demokrasia yenye haki, usawa na umoja.
Utatuitaje WANAFIKI .... silika Ana tabia ya mtu au kikundi cha watu fulani isiwe kigezo cha kutukana wenzio .... THAT'S UNFAIRMbona musoma iko chini ya CCM
Chadema waliangukia pua mbunge wake ni Vedastus Mathayo
Mm nawakubali Tarime musoma kuna wajita ni wanafiki sana hawa watu na ndiyo wengi pale
Kule tarime ni kurya people never give up